Helo,
Nataka kujifunza kichaga, sijui kabisaa. Napenda kujua kichaga, huku kilipo watu huniita mangi, mara mchaga kisa natokea Kaskazini. Natakankujua na kichaga.
[HASHTAG]#ruksa[/HASHTAG] kunikosoa
mkuu naona unahubiri injili ya jehova kijanja...Wazo zuri.Ni muhimu kujua lugha ya Mama.
Kwa Tanzania Ni makabila machache yanaongea lugha ya Mama.
Wasukuma www.jw.org/suk
wahaya www.jw.org/hay
Kinyakyusa Abaketi ba Jihoba—Tovuti Jitu: jw.org
Kihehe Awolelesi va Yihova—Itovuti Lyetu: jw.org
Njoo nikufundishe Mm Ni Mkaguru original kutoka Gairomkuu naona unahubiri injili ya jehova kijanja...
mimi natafuta mwalimu wa kikaguru . somo liendeshwe humuhumu jf
Wakaguru Wijeni mumfundishe imwanike yumkuu naona unahubiri injili ya jehova kijanja...
mimi natafuta mwalimu wa kikaguru . somo liendeshwe humuhumu jf
naomba kujua salamu za asubuhi,mchana na jioni mkuu.Njoo nikufundishe Mm Ni Mkaguru original kutoka Gairo Morogoro Tanzania
Helo,
Nataka kujifunza kichaga, sijui kabisaa. Napenda kujua kichaga, huku kilipo watu huniita mangi, mara mchaga kisa natokea Kaskazini. Natakankujua na kichaga.
[HASHTAG]#ruksa[/HASHTAG] kunikosoa
mkuu naona unahubiri injili ya jehova kijanja...
mimi natafuta mwalimu wa kikaguru . somo liendeshwe humuhumu jf
Helo,
Nataka kujifunza kichaga, sijui kabisaa. Napenda kujua kichaga, huku kilipo watu huniita mangi, mara mchaga kisa natokea Kaskazini. Natakankujua na kichaga.
[HASHTAG]#ruksa[/HASHTAG] kunikosoa