brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 360
- 517
Ndugu zangu nina mwanangu anakula mchanga katika hali ambayo sio ya kawaida yaani ukimuacha dakika moja tu anakula mchanga au matope machafu.
Ameumwa minyoo tunampa dawa ila kila tukienda hospital minyoo ipo tafadhali nakaribisha ushauri na anayefahamu matibabu.
Ameumwa minyoo tunampa dawa ila kila tukienda hospital minyoo ipo tafadhali nakaribisha ushauri na anayefahamu matibabu.