Tafadhali AAR msichukue Maamuzi haya kwani Tanzania ya sasa tuna Rais mzuri Mama Samia Suluhu Hassan ( Mrejesha Tabasamu ) kwa Wananchi

Tofautisha AAR Insurance ltd, na AAR Healthcare.
Hapo wanaoondoka ni AAR Healthcare, ambao ndo wanamiliki health centers za AAR, so hizo ndo zitaathirika, ila AAR insurance ambayo yenyewe ni kampuni ya Medical insurance itaendelea na operations zake kama kawaida, kwa sababu hizo ni kampuni mbili tofauti kabisa! Hata kwenye hayo maelezo hapo wameandika. AAR Insurance wako vizuri bado kwenye soko la bima, hata mimi siku hizi nawatumia hao hawana matatizo compared na Jubilee kwa mfano. Na wataendelea kuwepo hata baada ya AAR Healthcare ku-exit Tanzania, hizi ni kampuni tofauti kabisa, with different leadership and operations, tusichanganye hapo.
Abrianna
Hiyo insurance wing iliondoka 2019. Consolidation tunayofanya tutazalisha Tanesco nyingine. Serilali haitakiwi kufanya kila biashara maana haina efficiency test. Kwa mfano elimu isingekua vital ningeshauri ibinafsishwe. Ukiangalia elimu inayotolewa Na private ni quality nzuri mno. Ni tofauti Na elimu ya serikali lakini malengo ya private yanaweza kuwa tofauti ndo maana haiwezekani kuibinafsisha. Maadam watu wanakatwa mishahara yao hats huko BOT, TANAPA Na kwingine wangepewa Uhuru Wa kuchagua wanataka kutibiwa wapi. Kukiwa Na competition unawafanya watoa huduma Wa serikali kuamka.
 
Kwa vyovyote vile NHIF Na hospitali washirika bado wana Huduma mbovu kuweza kuhudumia wagonjwa hapa nchini. Tatizo la kwanza kama ilivyo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii serikali huitumia kama chanzo cha mapato yake. Ikishachukua hela huwa Mara nyingi hairudishi. Pia inaweza kukata hela kwenye mishahara ya watumishi Na isiiwakilishe. Mashirika hujiendesha kwa taabu mno. Inatakiwa tuwe tunatolewa audited financial statement ya NHIF Na notes ambatanishi ili tuone he wote michango inawasilishwa? Na je hakuna hela zimebebwa Na serikali?
Wanaachaje kuzibeba kwa mfano?.
 
Kwa vyovyote vile NHIF Na hospitali washirika bado wana Huduma mbovu kuweza kuhudumia wagonjwa hapa nchini. Tatizo la kwanza kama ilivyo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii serikali huitumia kama chanzo cha mapato yake. Ikishachukua hela huwa Mara nyingi hairudishi. Pia inaweza kukata hela kwenye mishahara ya watumishi Na isiiwakilishe. Mashirika hujiendesha kwa taabu mno. Inatakiwa tuwe tunatolewa audited financial statement ya NHIF Na notes ambatanishi ili tuone he wote michango inawasilishwa? Na je hakuna hela zimebebwa Na serikali?
Hutomuona CAG akipelekwa huko kwenye NHIF, wala pension funds, maana, mafundi uashi walijua kuzikopa bila maandishi ya kisheria kwa vimemo tu...
Pension Funds kuna kipindi wakopaji walikuwa karibia ni wanasiasa wa vyama vyote, wana misala yao, hapo huwa wanaungana maana wanajua wakiletwa wadaiwa sugu n.a. wao wamo ndani, watawala kwa wapinzani.

Wanaharakati wataaibika!:D

Everyday is Saturday..............................:cool:
 
Hutomuona CAG akipelekwa huko kwenye NHIF, wala pension funds, maana, mafundi uashi walijua kuzikopa bila maandishi ya kisheria kwa vimemo tu...
Pension Funds kuna kipindi wakopaji walikuwa karibia ni wanasiasa wa vyama vyote, wana misala yao, hapo huwa wanaungana maana wanajua wakiletwa wadaiwa sugu n.a. wao wamo ndani, watawala kwa wapinzani.

Wanaharakati wataaibika!:D

Everyday is Saturday..............................:cool:
One day Sunday will marshal. Then we shall do to them as French did to Maria Antoinette. History is a good teacher for those who can learn it.
 
Tofautisha AAR Insurance ltd, na AAR Healthcare.
Hapo wanaoondoka ni AAR Healthcare, ambao ndo wanamiliki health centers za AAR, so hizo ndo zitaathirika, ila AAR insurance ambayo yenyewe ni kampuni ya Medical insurance itaendelea na operations zake kama kawaida, kwa sababu hizo ni kampuni mbili tofauti kabisa! Hata kwenye hayo maelezo hapo wameandika. AAR Insurance wako vizuri bado kwenye soko la bima, hata mimi siku hizi nawatumia hao hawana matatizo compared na Jubilee kwa mfano. Na wataendelea kuwepo hata baada ya AAR Healthcare ku-exit Tanzania, hizi ni kampuni tofauti kabisa, with different leadership and operations, tusichanganye hapo.
Abrianna
AAR Insurance waliondoka (exit) 2019. Sasa AAR Healthcare nao wanaondoka. Soma vizuri post ya mleta mada.
 
Nami Generalist nawaombeni AAR badilisheni upesi haya Maamuzi yenu kwani Tanzania ya sasa inaongozwa na Rais mzuri, mwelewa, mkarimu na makini Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

-------
AAR Healthcare Ltd is set to exit Tanzania on reduced visitor numbers to its eight clinics and financial troubles worsened by the Covid-19 pandemic.

The healthcare provider announced in a memo to staff, it has started the winding-up process since it can no longer meet its obligations to employees and creditors in a timely manner.

“The company’s parent AAR Healthcare Holdings is no longer willing to support the financial requirements of the company (AAR Healthcare Tanzania Limited) and it is on this basis that the Board of Directors have resolved to initiate a creditors’ voluntary winding up process,” said AAR Healthcare Limited acting chief executive Andrew Rowell.

The winding up process involves converging a meeting of the company’s creditors to formally agree on appointing liquidators.
The creditors meeting is set to take place on April 22.

Mr Rowell assured staff their employment contracts remain intact and business operations would continue uninterrupted pending the creditors meeting.

AAR started operations in Kenya in 1984 offering medical evacuation services by road and air. The company expanded to Tanzania in 2007 after being granted an insurance licence, setting its sights on an ambitious expansion programme.

In 2011, the AAR Group’s shareholders resolved to separate the business into two distinct units, AAR Healthcare and AAR Insurance.
The insurance wing exited Tanzania in 2019.

AAR Healthcare also has operations in Uganda where it launched in 1994 and Kigali where it unveiled in 2005 bringing to four the countries the healthcare provider operates.

AAR Healthcare (K) Limited is the largest provider of out-patient healthcare services in the East Africa region running a network of 18 medical centres in Kenya.

Source: AAR to shut Tanzania clinics on rising financial woes
Waliowahi kuhudumiwa na AAR miaka ya 2005 n.k watakubaliana na mimi kuwa miaka hiyo AAR ilikuwa habari nyingine,watu tulijivunia kuwa na bima za AAR,lakini kwa kipindi kilichopita hata kabla ya ujio wa corona huduma ilishayumba,makampuni yanayojiweza au kuwajali wafanyakazi wake wengi walishachukua maamuzi mengine.Binafsi siamini kama ni hali ya kisiasa au corona kuna jambo lililokuwa linaendelea ndani. Tukumbuke AAR walianza kwa kuhudumia wateja wao tu,yaani waliokuwa na bima zao na hapa huduma ilikuwa supper,baadae wakaanza kutoa huduma kama mahospitali mengine kwa kupokea bima nyingine na shida ikaanzia hapa.
Mimi naona kama wataamua kuondoka ni sawa,maana hatuwezi kuwapangia,mambo ni free market.ukiona point A hupati faida unahamia point B wanaokutaka watakufuata
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA........
 
Tofautisha AAR Insurance ltd, na AAR Healthcare.
Hapo wanaoondoka ni AAR Healthcare, ambao ndo wanamiliki health centers za AAR, so hizo ndo zitaathirika, ila AAR insurance ambayo yenyewe ni kampuni ya Medical insurance itaendelea na operations zake kama kawaida, kwa sababu hizo ni kampuni mbili tofauti kabisa! Hata kwenye hayo maelezo hapo wameandika. AAR Insurance wako vizuri bado kwenye soko la bima, hata mimi siku hizi nawatumia hao hawana matatizo compared na Jubilee kwa mfano. Na wataendelea kuwepo hata baada ya AAR Healthcare ku-exit Tanzania, hizi ni kampuni tofauti kabisa, with different leadership and operations, tusichanganye hapo.
Abrianna
Umeandika hawana matatizo compire na Jubilee... mimi nijuavyo na nilishajionea kabisa watu wote wanaochukua kampuni za bima cha kwanza huwa ni wababaishaji, Wakora dhurumati waongo na watu wa shortcut... na hao ndio huwa mabalozi wakubwa wa kuvumisha uongo wao waonekane wameonewa ili wapate huruma... kuna kipindi walikuwa wanacheza michezo yao hadi na taasisi na mamlaka ziwasaidie kulazimisha uongo zilipwe mafao yasiyostahili kwao... na hii ni kweli kabisa.

Bima halali inalipika bila matatizo na bima fake hata mtoto anajua kuwa ni fake na akitumwa investgator hata hachukui lisaa anajua fake.. so wapingaji ndio huja juu kuwa wamedhurumiwa haki zao.. kungekuwa na mamlaka sahahi Tanzania wote wanataka kuibia kampuni za bima wangekuwa wanakamatwa na Takukuru kisha wakasote jela upuuzi wao utapotea maana kuna kundi fulani ndio lina michezo hii ya wizi kutokea kwa mabroker na ma agent so mbinu zinasambaa kila kukicha.. nakumbuka kuna kampuni ilikuwa inatumua polisi live kuchunguza ajali n.k mabroka waliikimbia kupeleka biashara zao hadi ile kampuni ikaacha watu wanadeal na kuziibia tu Kampuni za bima.. huko Hospital ndio mufilisi kabisa ukiumwa mafua kicha n.k kwa kadi ya bima inaondoka hadi elfu 50 kupima kumuina dr na vidawa vya mafua au kikohozi. Unategemea kampuni zitasurvive vipi na group la wezi walio mahospitalini.. kwa mfano Aga khan niliwahi sikia dr huwa ana target anapewa mgonjwa lazima kadi yale ikamuliwe haswa ikiwezekana aongeze na cash yake binafsi...
 
So far provider mwingine labda Strategies, maana jubilee walishajifia, mashirika makubwa yote yalikua yanatumia AAR na taasisi za maana, binafsi naona ni pigo kubwa maana hakuna provider ambae amejitosheleza mpaka vijijini kama aar
Ah! waondoke tu
 
Umeandika hawana matatizo compire na Jubilee... mimi nijuavyo na nilishajionea kabisa watu wote wanaochukua kampuni za bima cha kwanza huwa ni wababaishaji, Wakora dhurumati waongo na watu wa shortcut... na hao ndio huwa mabalozi wakubwa wa kuvumisha uongo wao waonekane wameonewa ili wapate huruma... kuna kipindi walikuwa wanacheza michezo yao hadi na taasisi na mamlaka ziwasaidie kulazimisha uongo zilipwe mafao yasiyostahili kwao... na hii ni kweli kabisa.

Bima halali inalipika bila matatizo na bima fake hata mtoto anajua kuwa ni fake na akitumwa investgator hata hachukui lisaa anajua fake.. so wapingaji ndio huja juu kuwa wamedhurumiwa haki zao.. kungekuwa na mamlaka sahahi Tanzania wote wanataka kuibia kampuni za bima wangekuwa wanakamatwa na Takukuru kisha wakasote jela upuuzi wao utapotea maana kuna kundi fulani ndio lina michezo hii ya wizi kutokea kwa mabroker na ma agent so mbinu zinasambaa kila kukicha.. nakumbuka kuna kampuni ilikuwa inatumua polisi live kuchunguza ajali n.k mabroka waliikimbia kupeleka biashara zao hadi ile kampuni ikaacha watu wanadeal na kuziibia tu Kampuni za bima.. huko Hospital ndio mufilisi kabisa ukiumwa mafua kicha n.k kwa kadi ya bima inaondoka hadi elfu 50 kupima kumuina dr na vidawa vya mafua au kikohozi. Unategemea kampuni zitasurvive vipi na group la wezi walio mahospitalini.. kwa mfano Aga khan niliwahi sikia dr huwa ana target anapewa mgonjwa lazima kadi yale ikamuliwe haswa ikiwezekana aongeze na cash yake binafsi...
Umeongea kweli pia.
Kuna jamaa fulani wanufaika wa medical insurance; walikua wanashirikiana na mmiliki wa pharmcacy kuwaibia kampuni ya bima. Walichokua wanafanya, yule mmiliki wa pharmacy alikua pia ana duka kubwa la cosmetics. So, wale wanufaika walikua wanaandikiwa dawa labda za 50,000 halafu akienda pale pharmacy anapewa vipodozi na vitu vingine vyenye thamani ya 50,000 ila kule inakua recorded kama vile mhusika amechukua hizo dawa!
Hao ndo Watanzania.
Mlaleo
 
Tofautisha AAR Insurance ltd, na AAR Healthcare.
Hapo wanaoondoka ni AAR Healthcare, ambao ndo wanamiliki health centers za AAR, so hizo ndo zitaathirika, ila AAR insurance ambayo yenyewe ni kampuni ya Medical insurance itaendelea na operations zake kama kawaida, kwa sababu hizo ni kampuni mbili tofauti kabisa! Hata kwenye hayo maelezo hapo wameandika. AAR Insurance wako vizuri bado kwenye soko la bima, hata mimi siku hizi nawatumia hao hawana matatizo compared na Jubilee kwa mfano. Na wataendelea kuwepo hata baada ya AAR Healthcare ku-exit Tanzania, hizi ni kampuni tofauti kabisa, with different leadership and operations, tusichanganye hapo.
Abrianna
Uko sahihi kabisa. na AAR wamebadilisha jina kwa sasa wanaitwa Assemble Insurance 100% owned by Tanzanian.
 
Ni wakati sasa turudi kwenye misingi ya ushindani wa kibiashara kwa kuachia free market economy, Mashirika ya Bima yashindane ndo hapo tutaona uwezekaji zaidi katika ndustry hii.

Bima ya afya kwa wote haina maana kuwa lazima kila mtu ajiunge NHIF (Compulsory scheme), la hasa, Bima ya afya kwa wote ina maana kuwa almost kila mwananchi awe covered na bima ya Afya bila kujali ni aina gani ya mfuko.

Hebu angalia NHIF inatoa tija na ajira kiasi gani? Ila unaporuhusu mazingira ya kiushindani ambapo pia mifuko mingine inapelekea kutoa huduma pia ajira kwa vijana.

Serkali ifikirie mara mbili hapa, mfumo wa serkali kuhodhi kila sekta umepitwa na wakati.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom