Hiyo insurance wing iliondoka 2019. Consolidation tunayofanya tutazalisha Tanesco nyingine. Serilali haitakiwi kufanya kila biashara maana haina efficiency test. Kwa mfano elimu isingekua vital ningeshauri ibinafsishwe. Ukiangalia elimu inayotolewa Na private ni quality nzuri mno. Ni tofauti Na elimu ya serikali lakini malengo ya private yanaweza kuwa tofauti ndo maana haiwezekani kuibinafsisha. Maadam watu wanakatwa mishahara yao hats huko BOT, TANAPA Na kwingine wangepewa Uhuru Wa kuchagua wanataka kutibiwa wapi. Kukiwa Na competition unawafanya watoa huduma Wa serikali kuamka.Tofautisha AAR Insurance ltd, na AAR Healthcare.
Hapo wanaoondoka ni AAR Healthcare, ambao ndo wanamiliki health centers za AAR, so hizo ndo zitaathirika, ila AAR insurance ambayo yenyewe ni kampuni ya Medical insurance itaendelea na operations zake kama kawaida, kwa sababu hizo ni kampuni mbili tofauti kabisa! Hata kwenye hayo maelezo hapo wameandika. AAR Insurance wako vizuri bado kwenye soko la bima, hata mimi siku hizi nawatumia hao hawana matatizo compared na Jubilee kwa mfano. Na wataendelea kuwepo hata baada ya AAR Healthcare ku-exit Tanzania, hizi ni kampuni tofauti kabisa, with different leadership and operations, tusichanganye hapo.
Abrianna