Nzige The Bless
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 990
- 738
Asante kwa ufafanuzi mzuriTanzania employment service agency( TAESA) iko chini ya wizara ya ajira, vijana na watu wenye ulemavu chini ya ofisi ya waziri mkuu
kazi yake ni kusaidia vijana kupata internship na ajira za mikataba serikalini na private pia ajira za kudumu sector binafsi angalizo sio ajira za kudumu serikalini maana chombo kinachohusika na ajira za kudumu ni public service recruitment secretariat (utumishi)