Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Baadhi ya wazee wanaoishi katika kambi ya kutunza wazee ya Kijiji cha Aman mkoani Tabora wameiomba serikali kuwaboreshea huduma za afya kupitia mfumo wa Tiba kwa Kadi maarufu TIKA kwakuwa wamekuwa wakisimbuliwa pindi wanapohitaji huduma za matibabu kwa kufanyiwa vipimo tu na kuambiwa dawa wakajinunulie.
#AzamTVUpdates #AzamNews
#AzamTVUpdates #AzamNews