BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Wamwangalie anaweza kabisa kumtungua mwingine...aliyekuwa Jaji Mkuu wa Tanzania alipokuwa anastaafu alisema kwamba alikuwa anakosa usingizi kwa rushwa ilivyoshamiri ndani ya mahakama. Kitendo cha Dito kupeta uraiani baada kumuua yule jamaa wa dalax2 ni ushahidi tosha kwamba mahakama zimejaa rushwa.