Wakati Mwanza wakijiandaa na mkutano mkubwa wa hadhara wa Mkiti wa Taifa, Freeman Mbowe leo, hapa Tabora kuna mapokezi makubwa sana msafara wa Gwiji wa Siasa Tanzania na Katibu Mkuu CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa unapita Tabora mjini kwenda Jimbo la Tabora Kaskazini.
Wananchi wa Tabora mjini wamejitokeza kwa wingi sana kumpokea Katibu Mkuu wa CHADEMA. Ni msururu wa Pikipiki na Magari ambayo idadi yake kwa harakaharaka ni vigumu kutoa hesabu yake.
Watu wamejipanga barabara zote huku wakimshangilia Dr Slaa kwa mfano ambao ni historia.
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Wananchi wa Tabora mjini wamejitokeza kwa wingi sana kumpokea Katibu Mkuu wa CHADEMA. Ni msururu wa Pikipiki na Magari ambayo idadi yake kwa harakaharaka ni vigumu kutoa hesabu yake.
Watu wamejipanga barabara zote huku wakimshangilia Dr Slaa kwa mfano ambao ni historia.
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Last edited by a moderator: