KIJIGOJUNIOR
Member
- Mar 5, 2011
- 27
- 17
Wana JF,
Taarifa niliyoipata hivi punde ni kwamba wapambanaji wa Chadema, Meneja wa Kampeni Sylivester Kasulumbayi (MB) na Suzan Kiwanga (MB)waliokuwa wamekamatwa kwa hila na polisi wa magamba wameachiwa huko Tabora na sasa muelekeo ni kwenye uwanja wa mapambani Igunga, Hakuna kulala mpaka kieleweke
Taarifa niliyoipata hivi punde ni kwamba wapambanaji wa Chadema, Meneja wa Kampeni Sylivester Kasulumbayi (MB) na Suzan Kiwanga (MB)waliokuwa wamekamatwa kwa hila na polisi wa magamba wameachiwa huko Tabora na sasa muelekeo ni kwenye uwanja wa mapambani Igunga, Hakuna kulala mpaka kieleweke