chaka la simba
Member
- Aug 12, 2011
- 18
- 5
Peoples power peoples power
hata nyerer kabla ya uhuru alikamatwa na wakolono(weupe)ila haikuzuia uhuru sembuse hawa wakoloni weusi wasiojua hata bastola inatengenezwaje?
freedom is coming tomorow.
MS tangu jk alipokataa kufadhili mahakama ya kadhi umeanza kutumia akili yako vizuriHongera. Kazeni buti kulinyakua igunga. Lkn muheshimu hijab tu na sio mnavua vua watu
<br />Chama cha Maandamano yasikuwa na tija yoyote kwa taifa. Vipi posho za maandamano.<br />
Kila kichwa buku tano, Dr Slaa, Mbowe Laki saba, kila mmoja hawa kina Regia Mtema, wengine 100,000 Pipozz powerr!!
Narudia tena kusema!!!!! Ukishitakiwa kwa kosa huku mlalamikaji akawa wa-MAGAMBA ujue ili kesi iishe wewe hangaikia dhamana tu kwani MAGAMBA hawana ubavu wa kuendelea na kesi mahakamani. Taarifa nilizo nazo juu ya tarehe nyingine ya kusikilizwa kesi hiyo ni tarehe 10/10/2011 ambapo hata uchaguzi katika jimbo la igunga utakuwa umekwisha fanyika.
Keep in moving makamanda CHADEMA mwanzo ni mzuri kwa kuchukua nchi. Igunga ni mlango kwa CHADEMA kuchukua majimbo ya TABORA.
Ni hayo tu!!!!!!!
<br />Mnaharibu dhana nzima ya maandamano.mtake kubaka watu wawashtaki maandamano,mdharirishe wanawake kijinsia maandamano,mdhihaki wanawake wa kiislam kwa kuwavua hijabu maandamano,mpige watu na kujichukulia sheria mkononi maandamano.huu si ujanja ni kutaka kuwageuza watz ndondocha.cdm is not trusted at all.
Lile la kubaka ameamua asiliweke? Aibu yake DC kubwa sana, nani ambake yule!!? Na yule kada wa magamba amesharudusha chupi ya mke wa ustadh?
<br />Mnaharibu dhana nzima ya maandamano.mtake kubaka watu wawashtaki maandamano,mdharirishe wanawake kijinsia maandamano,mdhihaki wanawake wa kiislam kwa kuwavua hijabu maandamano,mpige watu na kujichukulia sheria mkononi maandamano.huu si ujanja ni kutaka kuwageuza watz ndondocha.cdm is not trusted at all.