Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
I realy respect u Sir Lissu Tindu Mb.You always Rock me brother.I SALLUT U SIR
Tatizo la malaria sugu ilikuwa ni mlungula aliokuwa anapokea toka CCM,but I know him,ni mwanamapinduzi mzuri....But,nilichokipata ni kuwa kanyimwa safari ya Igunga,na mgao wake wa safari hiyo kama shs 15,000,000/= hivi,na hii uwa wanagawana watu walipangwa kupambana na kila mtu anayeisema vibaya CCM,iwe kwenye mikutano ya hadhara,vijiweni na kwenye mitandao ya kijamii kama JF nk...Na kuna member wengi kwenye hii committee..Mwita25 ni moja ya member wapya katika kundi hili...
<br />Jamani,<br />
<br />
Mimi sijamuelewa vizuri aliyeleta taarifa hii. Taarifa ni nzuri kwamba wameachiwa. Sasa maswali yafuatayo hayana majibu:<br />
<br />
1. Wameachiwa na polisi kwamba hakuna ushahidi wa kuwafikisha mahakamani.<br />
<br />
2. Wameachiwa na polisi kwa maelezo kwamba warudi kuripoti kesho/wiki ijayo au?<br />
<br />
3. Wamefikishwa mahakamani, wakasomewa shitaka (lipi) halafu wameachiwa kwa dhamana. Kama jibu la hapa ni ndiyo, wameachiwa kwa masharti gani.<br />
<br />
Tafadhali yeyote mwenye majibu ya maswali haya atusaidie.
<br />Jamani,<br />
<br />
Mimi sijamuelewa vizuri aliyeleta taarifa hii. Taarifa ni nzuri kwamba wameachiwa. Sasa maswali yafuatayo hayana majibu:<br />
<br />
1. Wameachiwa na polisi kwamba hakuna ushahidi wa kuwafikisha mahakamani.<br />
<br />
2. Wameachiwa na polisi kwa maelezo kwamba warudi kuripoti kesho/wiki ijayo au?<br />
<br />
3. Wamefikishwa mahakamani, wakasomewa shitaka (lipi) halafu wameachiwa kwa dhamana. Kama jibu la hapa ni ndiyo, wameachiwa kwa masharti gani.<br />
<br />
Tafadhali yeyote mwenye majibu ya maswali haya atusaidie.
Jamani,
Mimi sijamuelewa vizuri aliyeleta taarifa hii. Taarifa ni nzuri kwamba wameachiwa. Sasa maswali yafuatayo hayana majibu:
1. Wameachiwa na polisi kwamba hakuna ushahidi wa kuwafikisha mahakamani.
2. Wameachiwa na polisi kwa maelezo kwamba warudi kuripoti kesho/wiki ijayo au?
3. Wamefikishwa mahakamani, wakasomewa shitaka (lipi) halafu wameachiwa kwa dhamana. Kama jibu la hapa ni ndiyo, wameachiwa kwa masharti gani.
Tafadhali yeyote mwenye majibu ya maswali haya atusaidie.
Hongera. Kazeni buti kulinyakua igunga. Lkn muheshimu hijab tu na sio mnavua vua watu