Tabora: Wabunge wa CHADEMA waachiwa kwa dhamana; Kupokewa kwa maandamano Igunga

Nilikuwepo kwenye tukio kwakweri serikali haina wanasheria kwajinsi mh lisu Tundu alivyo kuwa makini kutumia vifungu vya sheria kutetea haki ya makamanda kupata dhamana niliamini anauwezo mkubwa sana katika taaluma hiyo wanasheria wa serikali walibaki kukubali kila alicho sema lisu pasipo kupinga japo mwanzoni walitaka kupinga hakim alipowataka kusema wanapinga kwa kutumia kifungu gani cha sheria walibaki kujiuma na mwishoe kuafikiana na hoja za lisu na hatimae hakim pia akatoa dhamana.
 
Hakika MAGAMBA wanazidi kuwapa CDM promo ya buree kabisa. Sasa hapo chadema wajipange kuwapokea hawa HEROS wetu.. Hakuna kosa walilolifanya kama kuwaachia hawa wanaharakati.
Msimu huu Magamba wataona rangi zote.
 
hongera tundu lisu,umelala macho kuhakikisha wanaachiwa, wanapata dhamana, au kupelekwa mahakamani.pole sana kwa jinsi kwa kazi nzito ya kupambana na uonevu wa ccm na serikali yake. Mungu akulinde

jamani kabla ya kutamba hebu mtoa mada atujuze nini kimetokea. Kupewa taarifa tu haitoshi. Tuelezwe wamefutiwa mashtaka,/ wamepewa dhamana au what real happened pale tbr
 
<b><span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#800080">tuthibitishie tafadhali usije kuwa unataka kupima upepo, maana magamba nao wana mbinu za kutaka kujua maoni ya watu hapa JF</font></font></span></b>

Ni kweli wameachiwa,hata mimi nimeona kwenye facebook-wall page ya Regia Mtema.
 
naona kama sasa hivi umeanza kutumia akili yako.kweli siyo kweli?

Tatizo la malaria sugu ilikuwa ni mlungula aliokuwa anapokea toka CCM,but I know him,ni mwanamapinduzi mzuri....But,nilichokipata ni kuwa kanyimwa safari ya Igunga, na mgao wake wa safari hiyo kama shs 15,000,000/= hivi.

Na hii uwa wanagawana watu walipangwa kupambana na kila mtu anayeisema vibaya CCM, iwe kwenye mikutano ya hadhara, vijiweni na kwenye mitandao ya kijamii kama JF nk...Na kuna member wengi kwenye hii committee..Mwita25 ni moja ya member wapya katika kundi hili...
 
Jamani,

Mimi sijamuelewa vizuri aliyeleta taarifa hii. Taarifa ni nzuri kwamba wameachiwa. Sasa maswali yafuatayo hayana majibu:

1. Wameachiwa na polisi kwamba hakuna ushahidi wa kuwafikisha mahakamani.

2. Wameachiwa na polisi kwa maelezo kwamba warudi kuripoti kesho/wiki ijayo au?

3. Wamefikishwa mahakamani, wakasomewa shitaka (lipi) halafu wameachiwa kwa dhamana. Kama jibu la hapa ni ndiyo, wameachiwa kwa masharti gani.

Tafadhali yeyote mwenye majibu ya maswali haya atusaidie.

Masharti ya dhamana nikwamba kila mtuhumiwa awe na wadhamini wawili na kila mdhamini aweze kutoa tshs milioni tano hewa (yaani ahadi ya tshs millioni tano kama mtuhumiwa akitoweka) kesi imeahilishwa mpaka tarehe 10/10/2011 hii nikufuatia lisu kuieleza mahakama kwamba watuhumiwa wanajukumu la kitaifa katika kampeni za uchaguzi mdogo.

Awali upande wa serikali ulidai ushahidi umekamilika ndipo tundu akaiomba mahakama iwaruhusu waanze kesi lakini wanasheria wa serikali wakajikanyaga tena kwa kusema bado hawajajipanga Tundu alitaka mahakama kutupilia mbali kesi hiyo kwani niyakisiasa na imelenga kuipotezea muda mahakama.
 
I KNEW IT FOR SURE liSU WILL MAKE IT, AND FINALLY YES!ECKO CDM!SHAME ON U MAGAMBAZ!
 
Hongereni makamada jeshi lisonge mbele. Tunajiuliza mbona hawajakamata aliekwenda kufanya kampeni za n-g-ono. CCM itasababisha talaka nyingi kwa zile familia zisizokuwa na msimamo mmoja, hasa hasa wenyewe huko huko.
 
Jamani,

Mimi sijamuelewa vizuri aliyeleta taarifa hii. Taarifa ni nzuri kwamba wameachiwa. Sasa maswali yafuatayo hayana majibu:

1. Wameachiwa na polisi kwamba hakuna ushahidi wa kuwafikisha mahakamani.

2. Wameachiwa na polisi kwa maelezo kwamba warudi kuripoti kesho/wiki ijayo au?

3. Wamefikishwa mahakamani, wakasomewa shitaka (lipi) halafu wameachiwa kwa dhamana. Kama jibu la hapa ni ndiyo, wameachiwa kwa masharti gani.

Tafadhali yeyote mwenye majibu ya maswali haya atusaidie.

HAKIKA KWANI KUKIMBILIA KUSHANGALIA NI KUONESHA UDHAIFU WA KUCHANGANUA MAMBAO. WANA JF kumbukeni kuna magamba wapo humu ndani wanapenda aidha kusanifu au kupima upepo wa harakati za kulikomboa taifa na wana taifa kwa ujumla
 
Wa-JF!
Kwa wale wenye mashaka ya kuachiwa kwa mashujaa wetu wa CDM ni kwamba eleweni kuwa kwa serikali hii legelege ya MAGAMBA wakikupa dhamana tu basi umeachiwa huru. Kumbukeni matukio ya Arusha............!!!!!!!!

Hata hivyo shujaa wa kweli anayetetea raia, serikali dharimu lazima imkamate. Kumbuka MANDELA na hata NYERERE walikamatwa na serikali dharimu na hatimae UHURU wa kweli ukapatikana ndo maana hadi leo wanakumbukwa!!!!!!!!!!!!!!

Leo hii Nyerere na Mandela ni ruru ya mataifa yao hadi kupelekea wananchi wa South Africa kujiandaa kupokea kifo cha Mandela (sijasema kafa ila umri alionao imetosha kuishi ili wapambanaji wa CDM wachukue nafasi)


&#8203;Ni hayo wandugu!!!!!!!!!!!!!!
 
Wana JF,

Taarifa niliyoipata hivi punde ni kwamba wapambanaji wa Chadema, Meneja wa Kampeni Sylivester Kasulumbayi (MB) na Suzan Kiwanga (MB)waliokuwa wamekamatwa kwa hila na polisi wa magamba wameachiwa huko Tabora na sasa muelekeo ni kwenye uwanja wa mapambani Igunga, Hakuna kulala mpaka kieleweke

Wameachiwa wabunge peke yao au na yule mwanachama mwingine? Lakini yote kwa yote hongera timu ya kisheria ikiongozwa na Tundu Lisu. Sasa ni mapambano mpaka kieleweke
 
Ndiyo, haki haitaporwa kwa zama hizi zenye vichwa kama akina Tundu lissu na wengineo.
 
wameachiwa kwa dhamana kwa kila mmoja kuwa na mdhamini mmoja na kiasi cha tsh 5000000 kila mmoja. Wameshtakiwa mashtaka manne 1.kutukana matusi. 2. Kujeruhi sehemu za kichwa,shingo na sehemu mbali mbali za mwili. .3.Kumweka chini ya ulinzi isivyo halali.4.....- nitawajuza nimepitiwa .source Tbc saa 7
 
Haya kila heri wacha tusikie moto kwenye jukwaa leo .Nawatakia kila jambo jema
 
Masharti ya dhamana nikwamba kila mtuhumiwa awe na wadhamini wawili na kila mdhamini aweze kutoa tshs milioni tano hewa (yaani ahadi ya tshs millioni tano kama mtuhumiwa akitoweka)
kesi imeahilishwa mpaka tarehe 10/10/2011 hii nikufuatia lisu kuieleza mahakama kwamba watuhumiwa wanajukumu la kitaifa katika kampeni za uchaguzi mdogo.
Awali upande wa serikali ulidai ushahidi umekamilika ndipo tundu akaiomba mahakama iwaruhusu waanze kesi lakini wanasheria wa serikali wakajikanyaga tena kwa kusema bado hawajajipanga Tundu alitaka mahakama kutupilia mbali kesi hiyo kwani niyakisiasa na imelenga kuipotezea muda mahakama.


hii ni good kwa kweli, kama ni kweli tusubiri mambo yote yataakuwa hadharani.

ukweli ni kwamba, haki ya mtu/watu huwa haizuiliki bali itacheleweshwa na wanaojigamba wana nguvu. lakini katika hili your days are numbered
 
Masharti ya dhamana nikwamba kila mtuhumiwa awe na wadhamini wawili na kila mdhamini aweze kutoa tshs milioni tano hewa (yaani ahadi ya tshs millioni tano kama mtuhumiwa akitoweka)
kesi imeahilishwa mpaka tarehe 10/10/2011 hii nikufuatia lisu kuieleza mahakama kwamba watuhumiwa wanajukumu la kitaifa katika kampeni za uchaguzi mdogo.
Awali upande wa serikali ulidai ushahidi umekamilika ndipo tundu akaiomba mahakama iwaruhusu waanze kesi lakini wanasheria wa serikali wakajikanyaga tena kwa kusema bado hawajajipanga Tundu alitaka mahakama kutupilia mbali kesi hiyo kwani niyakisiasa na imelenga kuipotezea muda mahakama.

Wanamjua Lissu waliogopa angewagalagaza vibaya ndiyo maana katika kuweweseka wakajichanganya. Penye ukweli uongo hujitenga
 
Kwa vyovyote iwavyo, hii kesi kama wataifikisha mahakama ya Tabora mjini itakuwa na manufaa makubwa kwa CDM, Maana itatoa fursa kwa wakaazi wa Tabora kuhudhuria na kusikiliza jinsi ambavyo CDM walivyo watetezi wao na kuwajengea ujasiri wanatabora wengi kuacha woga wa polisi na hata kuwafanya wajiunge na CDM. Nafikiri CCM kama wataipotezea hii kisi watakuwa wameliona hilo.

Maana mbali na umaarufu kwa CDM kuongeza TBR pia mbinu zao za kutafuta ushindi kwa vyovyote zitawekwa wazi nchi nzima. Na si tu kuwekwa wazi bali piakuwafanya wakuu wa mikoa na wilaya kuonekana useless miongoni mwa wananchi wasiokuwa na imani na CCM.

Yaani hii kesi ni kama vile Kitendo cha Salva kukanusha kuwa JK hakununuliwa suti, angekaa kimya leo hii ni wachache sana wangekuwa wanaelewa habari ile ila kwa kukanusha wameipatia Publicty habari ile na kila mtu anajua Wikileaks iliandika nini kuhusu Rais wetu.
 
Wa-JF!
Kwa wale wenye mashaka ya kuachiwa kwa mashujaa wetu wa CDM ni kwamba eleweni kuwa kwa serikali hii legelege ya MAGAMBA wakikupa dhamana tu basi umeachiwa huru. Kumbukeni matukio ya Arusha............!!!!!!!!

Hata hivyo shujaa wa kweli anayetetea raia, serikali dharimu lazima imkamate. Kumbuka MANDELA na hata NYERERE walikamatwa na serikali dharimu na hatimae UHURU wa kweli ukapatikana ndo maana hadi leo wanakumbukwa!!!!!!!!!!!!!!

Leo hii Nyerere na Mandela ni ruru ya mataifa yao hadi kupelekea wananchi wa South Africa kujiandaa kupokea kifo cha Mandela (sijasema kafa ila umri alionao imetosha kuishi ili wapambanaji wa CDM wachukue nafasi)


&#8203;Ni hayo wandugu!!!!!!!!!!!!!!

mie nimependa avatar yako, cjui ndo zao lao lililopatikana wakati tukiwa kwenye harakati za kuikomboa nchi?
 
Jamani,
Mimi sijamuelewa vizuri aliyeleta taarifa hii. Taarifa ni nzuri kwamba wameachiwa. Sasa maswali yafuatayo hayana majibu:

1. Wameachiwa na polisi kwamba hakuna ushahidi wa kuwafikisha mahakamani.

2. Wameachiwa na polisi kwa maelezo kwamba warudi kuripoti kesho/wiki ijayo au?

3. Wamefikishwa mahakamani, wakasomewa shitaka (lipi) halafu wameachiwa kwa dhamana. Kama jibu la hapa ni ndiyo, wameachiwa kwa masharti gani.
Tafadhali yeyote mwenye majibu ya maswali haya atusaidie.

Sio kila kitu utafutiwe jitahidi na wewe kutafuta habari.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom