Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Wana JF,
Serikali ya CCM na uongozi imara wa viongozi wake wamepiga hatua kubwa na ya kusifiwa katika mkoa ambao ama ulisahaulika ama uliwekwa kiporo.
Katika pitapita zangu nimegundua maendeleo makubwa kabisa kutokea katika mkoa huu ambayo pia yalielezewa kwa kifupi katika taarifa ya miaka ya 50 ya uhuru na waheshimiwa viongozi wetu.
Tabora tumepiga hatua katika nyanja za utandawazi, ushahidi huu hapa. Fuata link hii;
TOVUTI YA MKOA WA TABORA
Asante.
Kassanga.
Serikali ya CCM na uongozi imara wa viongozi wake wamepiga hatua kubwa na ya kusifiwa katika mkoa ambao ama ulisahaulika ama uliwekwa kiporo.
Katika pitapita zangu nimegundua maendeleo makubwa kabisa kutokea katika mkoa huu ambayo pia yalielezewa kwa kifupi katika taarifa ya miaka ya 50 ya uhuru na waheshimiwa viongozi wetu.
Tabora tumepiga hatua katika nyanja za utandawazi, ushahidi huu hapa. Fuata link hii;
TOVUTI YA MKOA WA TABORA
Asante.
Kassanga.