KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Polisi mkoani hapa wanamsaka na udi na uvumba mwandishi wa channel 10 Juma Kapipi baada ya mwandishi huyu kurusha matukio ya kuuwawa kwa wanachi na jeshi la polisi wilayani Urambo hivi karibuni.Inasemekana mwandishi huyu ametoweka mkoani hapa na hajulikani alipo.