ELI-91
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 3,583
- 9,666
Jaribu kufuatilia hukumu zinazotolewa mahakama za chini mkuu. Kuna kitu hakiko sawa, mara nyingi hua zinatoka hukumu za juu mno.Hakimu kakosa busara, miaka 20 ni mingi sanaa, na judgement yake kaifanya kwa hisia labda uenda nae ni mzazi nae.