KISUNZU YP
Senior Member
- Jul 30, 2016
- 114
- 37
Katika hali isiyo ya kawaida amezaliwa mtoto wa kiume ambaye hana miguu yote miwili na mkono mmoja wa kuume.
Mama alijifungulia nyumbani na kumleta katika kituo cha kutolea huduma za AFYA kwa msaada zaidi lakini mganga mfawidhi alijitahidi kuiwasilisha ofisi ya mganga mkuu wa Wilaya ili mama na mtoto wapate msaada wa kiserikali hata wa kiwizara lakini ni siku ya 5 sasa hadi mama anaogopa na kumnyonyesha kuwa yawezakuwa laana.
Mtoto kazaliwa Kata ya Igigwa wilayani sikonge Mkoani Tabora.
Msaada wa kuliibua ili mtoto na mama wapate msaada
Mama alijifungulia nyumbani na kumleta katika kituo cha kutolea huduma za AFYA kwa msaada zaidi lakini mganga mfawidhi alijitahidi kuiwasilisha ofisi ya mganga mkuu wa Wilaya ili mama na mtoto wapate msaada wa kiserikali hata wa kiwizara lakini ni siku ya 5 sasa hadi mama anaogopa na kumnyonyesha kuwa yawezakuwa laana.
Mtoto kazaliwa Kata ya Igigwa wilayani sikonge Mkoani Tabora.
Msaada wa kuliibua ili mtoto na mama wapate msaada