Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,021
- 1,609
Mahakama ya Wilaya ya Igunga, imemtia hatiani Leonence Manyila Doto, Mtendaji wa Kata ya Lugubu kwa kosa la kughushi muhtasari na kuhamisha Tsh. 7,600,000 kutoka kwenye akaunti ya Kata na kuingiza kwenye akaunti ya fundi badala ya kulipa Tsh. 600,000.
Mshtakiwa amehukumiwa kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya Tsh. 1,400,000.
Chanzo: TAKUKURU
Mshtakiwa amehukumiwa kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya Tsh. 1,400,000.
Chanzo: TAKUKURU