Tabora: Mganga wa jadi afariki akinadi kinga yake dhidi ya sumu

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,444
7,804
Mtu mmoja ambaye amebainika kuwa ni mganga wa jadi, Robert Masumbuko, amefariki dunia mkoani Tabora wakati akijaribu kuwaaminisha wateja wake kwamba ana uwezo wa kuwapatia kinga dhidi ya sumu yoyote ambayo mtu anaweza kuinywa pasipo kudhurika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akiwaonya wananchi kuepukana na dhana potofu ambazo zinaendelea kumshamiri kwa baadhi ya wananchi. Mtu huyo mkazi wa Kigoma lakini amefariki akiwa Kaliua mkoani Tabora.

Kwa msaada wa Azam
 
Tatizo la wahaha wanajifanya wanajua kila dawa ya kila kitu,,

Juzi nilikuwa napiga pombe na muha mmoja pale WhatsApp pub Tegeta.

Alikuwa ananiambia yeye ana uwezo wa kuyeyuka ghafla na akaibukia kwao Kigoma, nikamjibu hauwezi acha uongo. Mara akawa anatafuta mtu mwenye sarafu ya mia mbili ampe ili afanye ivyo......
 
TatIzo la wahaha wanajifanya wanajua kila dawa ya kila kitu,,

Juzi nilikuwa napiga pombe na muha mmoja pale WhatsApp pub Tegeta,,

Alikuwa ananiambia yeye ana uwezo wa kuyeyuka gafla na akaibukia kwao kigoma,, nikamjibu hauwezi acha uongo,,
Mara akawa anatafuta mtu mwenye sarafu ya mia mbili ampe ili afanye ivyo......
Hahahahahah
 
Hivi alidhani wazee wa Tabora watamwacha afanye mazindiko yake hadharani bila ya kumjaribu, hapo wazee wamemchapa kijini kimoja tu mganga chali.
 
Mtu mmoja ambaye amebainika kuwa ni mganga wa jadi, Robert Masumbuko, amefariki dunia mkoani Tabora wakati akijaribu kuwaaminisha wateja wake kwamba ana uwezo wa kuwapatia kinga dhidi ya sumu yoyote ambayo mtu anaweza kuinywa pasipo kudhurika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akiwaonya wananchi kuepukana na dhana potofu ambazo zinaendelea kumshamiri kwa baadhi ya wananchi. Mtu huyo mkazi wa Kigoma lakini amefariki akiwa Kaliua mkoani Tabora.

Kwa msaada wa Azam
Alitaka kuingiza watu Chaka
Mtu mmoja ambaye amebainika kuwa ni mganga wa jadi, Robert Masumbuko, amefariki dunia mkoani Tabora wakati akijaribu kuwaaminisha wateja wake kwamba ana uwezo wa kuwapatia kinga dhidi ya sumu yoyote ambayo mtu anaweza kuinywa pasipo kudhurika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akiwaonya wananchi kuepukana na dhana potofu ambazo zinaendelea kumshamiri kwa baadhi ya wananchi. Mtu huyo mkazi wa Kigoma lakini amefariki akiwa Kaliua mkoani Tabora.

Kwa msaada wa Azam
Alitaka kuingiza watu chaka akaingia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom