flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 83
Ukiona nyani mzee jua kakwepa mishale mingi......mkuu shule za wahitimu 40 kwa darasa!,mpaka waibe mitihani ndo wanasikika ndo unalinganisha na magwiji wa taaluma? zingine hazija fikisha hata miaka 10 kuwepo kwake? hata zingine ndo nazisoma hapo kwenye post yako kwa mara ya kwanza kabisaaaaa! au unazungumzia kwa rank ipi ya mkoa au taifa?.Kuzisifia shule za vipaji siyo kuzidharau zingine ni hali halisi na kuwatia moyo wengine ni vema kama ulivyofanya kuzitia moyo hizo shule ulizotaja.
...hivi wewe mpiga msuli una akili timamu??unafkiri hili ni jukwaa la wahuni eee!!wewe nina wasiwS kama hata dv3 umepata..mtu mzima na akili zake hawezi kusema maneno hayo!!unajua hapo unamdharau baba yako,mama yako,ndugu zako family yako na rafiki zako kwa sababu sio wote wamepitia huko kwenywe vipAji..kuwa mkubwa kaka usipost tena hizi pumba utachekwaUNAMTINDIO WA UBONGO WEWE
HAMNA KITU KAMA HICHO , JILAUMU KWA KUSOMEA MISHULE YA KATA!! , KAMA HUJASOMEA SPECIALSCHool wewe ni ndezi, kama wewe uliyepost hii comment bwabwa mkubwa wewe ,niondokee takataka