johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Katibu mkuu wa chama cha wasafirishaji abiria (Taboa) ndugu Mrutu ameiomba Tamisemi kuhakikisha vituoni wanabakia wasafiri tu ili kupunguza msongamano nyakati hizi za majanga ya Corona.
Mrutu amesema hata kwenye vituo vya daladala mfano Makumbusho kuna msongamano mkubwa sana wa watu lakini wengi wao siyo wasafiri. Hivyo ni muhimu wakabaki abiria wanaosubiri usafiri.
Source ITV
Mrutu amesema hata kwenye vituo vya daladala mfano Makumbusho kuna msongamano mkubwa sana wa watu lakini wengi wao siyo wasafiri. Hivyo ni muhimu wakabaki abiria wanaosubiri usafiri.
Source ITV