Asante mkuu ngoja niifanyie kazi..Your 1st stop kwenye software nyingi zenye sifa ya USABILITY ni kwenye HELP. Kuna njia nyingi za kutengeneza TOC
A:
Ukifungua MS world uliyonayo katika task bar chagua HELP then kwenye option Microsoft word help au kitu kama hicho mi natumia 2003. Then Type TOC au Table of Contents. Utaletewa materila nyingi ni mambo gani na jinsi ya kuyafanya kwenye word.
B:
Otheriwise cheki hii link imebase kwenye Ms2003 lakini ukisoma itakupa mwanga hata kama una 2007 ni pag mbili tu
http://www.bradford.ac.uk/lss/documentation/toc-2003/table-of-contents-2003.pdf
Kwa detail audio tutorial ya TOC tembelea tovuti Microsoft http://office.microsoft.com/trainin...ID=RP011356831033&CTT=6&Origin=RP011356821033
c
Kusumaarize kenye task bar ya Ms ord Ms word Nenda kwenye Insert then kwenye option za insert chagua Reference halafu chagua Index and tables . kwenye window itakayokuja select table of contents
NB .Vichwa vywa habari unavyotaka viwe kwenye table of contents visiwe in Normal format badala yake viweke kwenye HEADING1 au HEADING2
NB
Usisahu kueka backup copy ya doc yako ili mambo ya kiharibika uwe na kianzio kingine
Kisha lete jibu kweupeeeeeeeeee hapa hapa jf kisha mpe thanks mkuu huyu!Asante mkuu ngoja niifanyie kazi..
Your 1st stop kwenye software nyingi zenye sifa ya USABILITY ni kwenye HELP. Kuna njia nyingi za kutengeneza TOC
A:
Ukifungua MS world uliyonayo katika task bar chagua HELP then kwenye option Microsoft word help au kitu kama hicho mi natumia 2003. Then Type TOC au Table of Contents. Utaletewa materila nyingi ni mambo gani na jinsi ya kuyafanya kwenye word.
B:
Otheriwise cheki hii link imebase kwenye Ms2003 lakini ukisoma itakupa mwanga hata kama una 2007 ni pag mbili tu
http://www.bradford.ac.uk/lss/documentation/toc-2003/table-of-contents-2003.pdf
Kwa detail audio tutorial ya TOC tembelea tovuti Microsoft http://office.microsoft.com/trainin...ID=RP011356831033&CTT=6&Origin=RP011356821033
c
Kusumaarize kenye task bar ya Ms ord Ms word Nenda kwenye Insert then kwenye option za insert chagua Reference halafu chagua Index and tables . kwenye window itakayokuja select table of contents
NB .Vichwa vywa habari unavyotaka viwe kwenye table of contents visiwe in Normal format badala yake viweke kwenye HEADING1 au HEADING2
NB
Usisahu kueka backup copy ya doc yako ili mambo ya kiharibika uwe na kianzio kingine