Table of content

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Naomba msaada kwa anaejua kutumia Table of contents, anieleweshe maana inanizingua...


Asante
 
Pole sana.
Ni rahisi kutengeneza lakini ni muhimu ukisema unatumia version ipi ya MS word. Kuna tofauti kidogo namna ya kutengeneza kama unatumia word ya 2007 na word za nyuma kidogo.

Asante
 
Your 1st stop kwenye software nyingi zenye sifa ya USABILITY ni kwenye HELP. Kuna njia nyingi za kutengeneza TOC

A:
Ukifungua MS world uliyonayo katika task bar chagua HELP then kwenye option Microsoft word help au kitu kama hicho mi natumia 2003. Then Type TOC au Table of Contents. Utaletewa materila nyingi ni mambo gani na jinsi ya kuyafanya kwenye word.

B:
Otheriwise cheki hii link imebase kwenye Ms2003 lakini ukisoma itakupa mwanga hata kama una 2007 ni pag mbili tu
http://www.bradford.ac.uk/lss/documentation/toc-2003/table-of-contents-2003.pdf

Kwa detail audio tutorial ya TOC tembelea tovuti Microsoft http://office.microsoft.com/trainin...ID=RP011356831033&CTT=6&Origin=RP011356821033


c

Kusumaarize kenye task bar ya Ms ord Ms word Nenda kwenye Insert then kwenye option za insert chagua Reference halafu chagua Index and tables . kwenye window itakayokuja select table of contents

NB .Vichwa vywa habari unavyotaka viwe kwenye table of contents visiwe in Normal format badala yake viweke kwenye HEADING1 au HEADING2


NB

Usisahu kueka backup copy ya doc yako ili mambo ya kiharibika uwe na kianzio kingine
 
Your 1st stop kwenye software nyingi zenye sifa ya USABILITY ni kwenye HELP. Kuna njia nyingi za kutengeneza TOC

A:
Ukifungua MS world uliyonayo katika task bar chagua HELP then kwenye option Microsoft word help au kitu kama hicho mi natumia 2003. Then Type TOC au Table of Contents. Utaletewa materila nyingi ni mambo gani na jinsi ya kuyafanya kwenye word.

B:
Otheriwise cheki hii link imebase kwenye Ms2003 lakini ukisoma itakupa mwanga hata kama una 2007 ni pag mbili tu
http://www.bradford.ac.uk/lss/documentation/toc-2003/table-of-contents-2003.pdf

Kwa detail audio tutorial ya TOC tembelea tovuti Microsoft http://office.microsoft.com/trainin...ID=RP011356831033&CTT=6&Origin=RP011356821033


c

Kusumaarize kenye task bar ya Ms ord Ms word Nenda kwenye Insert then kwenye option za insert chagua Reference halafu chagua Index and tables . kwenye window itakayokuja select table of contents

NB .Vichwa vywa habari unavyotaka viwe kwenye table of contents visiwe in Normal format badala yake viweke kwenye HEADING1 au HEADING2


NB

Usisahu kueka backup copy ya doc yako ili mambo ya kiharibika uwe na kianzio kingine
Asante mkuu ngoja niifanyie kazi..
 
Km unatumia MS Word 2007. Kwanza highlight title zako yaani unayotaka ziwe main heading basi zihighlight then click heading one, sub heading zinazofata highlight then click heading two endelea hivyo kwa zote unazotaka ziwe heading. Kisha click kwenye reference tab. Kwenye kona pameandikwa table of contect then click drop down arrow halafu chagua format unayotaka then click itaingia. Wakati unafanya hivyo uwe umeselect kabisa sehem ambayo unataka hiyo table ofcontent iwepo.
 
Your 1st stop kwenye software nyingi zenye sifa ya USABILITY ni kwenye HELP. Kuna njia nyingi za kutengeneza TOC

A:
Ukifungua MS world uliyonayo katika task bar chagua HELP then kwenye option Microsoft word help au kitu kama hicho mi natumia 2003. Then Type TOC au Table of Contents. Utaletewa materila nyingi ni mambo gani na jinsi ya kuyafanya kwenye word.

B:
Otheriwise cheki hii link imebase kwenye Ms2003 lakini ukisoma itakupa mwanga hata kama una 2007 ni pag mbili tu
http://www.bradford.ac.uk/lss/documentation/toc-2003/table-of-contents-2003.pdf

Kwa detail audio tutorial ya TOC tembelea tovuti Microsoft http://office.microsoft.com/trainin...ID=RP011356831033&CTT=6&Origin=RP011356821033


c

Kusumaarize kenye task bar ya Ms ord Ms word Nenda kwenye Insert then kwenye option za insert chagua Reference halafu chagua Index and tables . kwenye window itakayokuja select table of contents

NB .Vichwa vywa habari unavyotaka viwe kwenye table of contents visiwe in Normal format badala yake viweke kwenye HEADING1 au HEADING2


NB

Usisahu kueka backup copy ya doc yako ili mambo ya kiharibika uwe na kianzio kingine

Nashukuru saana kaka, kwani nimefaidika ni mimi nilikuwa naandaa proposal, japokuwa sikuwa nimeomba, ila imenisaidia, na inaonyesha ni rahisi mnooo, Daah, ahasante sana kaka.
 
Back
Top Bottom