Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Ndugu zangu, binti yangu kaleta mchumba wa Kisambaa (Though not official yet). Binafsi sijawahi kufikiri binti yangu angeniletea wanaume wacheza ngoma na wavaa misuli (I'm not trying to offend anybody).
Wana JF hebu nisaidieni tabia za wanaume wa Kisambaa (Lushoto).
Je nimpe green light mwanangu?
Wana JF hebu nisaidieni tabia za wanaume wa Kisambaa (Lushoto).
Je nimpe green light mwanangu?