Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,371
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣H
Halafu mziki wenyewe wanapiga taarabu tu.
🤣🤣🤣🤣H
Halafu mziki wenyewe wanapiga taarabu tu.
daaahMakumbusho posta...
Full raha mwendo wa level seat toka enzi ya mkapa
🤣🤣🤣🤣saa mbili ni kwamba wana hela san au🤣🤣Usiombe uje dodoma saa nne wamelala wote njia nyeupe kuna wehu sasa saa mbili kamili wamelala wamekata root unaweza tembea kwa miguu wakati ni jiji.
wew si ni wale wa UBER au???😂😂😂😂
Naendelea kusoma comments
Sijui wanaitaje ila ni marefu hayooooNdio yale mnayaita mwendo kasi sijui🤣🤣
Wa kuingilia dirishani pesa ya uber thubutu yanguwew si ni wale wa UBER au???
Wewe kweli umeishi tanga hujakosea nduguH
Halafu mziki wenyewe wanapiga taarabu tu.
Makumbusho posta...
Full raha mwendo wa level seat toka enzi ya mkapa
Hakuna gari chakavu kule zote mpyaRoute za ma boss hizi wakiacha magari yao garage
🤣🤣🤣🤣Sijui wanaitaje ila ni marefu hayoooo
🤣🤣🤣Route za ma boss hizi wakiacha magari yao garage
🤣🤣🤣🤣🤣daahPande hizi maharage yanapatikana kwa wingi sasa ni kawaida mtu kujipigilia maharage na chai ahsubuhi.Tatizo linaanza pale mtu anapoutimia uhuru wake kwa kujamba ndani ya daladala.Na ukumbuke hajambi mmoja.Mpaka tunapofika tunakoenda tunakuwa kama tumelewalewa
🤣🤣🤣🤣🤣Daladala la bukoba jamani unajaza mifugo watu na mazao humo ndan bado mizigo ya dagaa harufu yake humo inabidi utoe uso nje
Bado mchomoko taxi moja mnajazana watu kumi
🤣🤣🤣🤣Abiria kuitwa mawe kisa wanashuka kituo kirefu
🤣🤣🤣🤣🤣 kwahyo huwa tunawahi sitiWa kuingilia dirishani pesa ya uber thubutu yangu
Kuna daladal nilipanda yan lami unaiona kabis kw upande wangu nlikua naiona na chasis chin lipo tupu kbc unakanyag kw uangalifu kbc
Huku kwetu daladala ikipiga tuta, mnashuka konda anapanga seat kwanza!!