Eidj5
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 503
- 418
Yeye ndo mdau wa hayo mambo tena mkubwa
Kwa hiyo kauli yake hata mimi ananipa mashaka makubwa sana mkuu.
Yeye ndo mdau wa hayo mambo tena mkubwa
Sio wote, wengi ni wale ambao hawajakaa huku na hawajawajua watu wa bara. Mbona wanaoleea tu na wabara, wengi tu ila wale ambao waliowahi kukaa huku na kuwajua wa bara.Tatizo la wazanzibar ambalo linanikera sana.
wanapenda sana kujiona wao ni watakatifu sana kuliko wabara,mambo yote ya kipuuzi wanatutupia sisi huku,kama vile wao hawana upuuzi huo.
Nimewahi kumsikia dada mmoja wa kipemba akisema,"sioleewi na mmbara,wabara ni wachawi,walevi,basi huwa namuangalia simjibu kwangu namchukulia kama mjinga tuu.
Sio wote, wengi ni wale ambao hawajakaa huku na hawajawajua watu wa bara. Mbona wanaoleea tu na wabara, wengi tu ila wale ambao waliowahi kukaa huku na kuwajua wa bara.
Kwa hiyo kauli yake hata mimi ananipa mashaka makubwa sana mkuu.
Kwema naona jamaa anashambulia Wabara bila uadilifu wakati jamii zote ziko katika mmomonyoko wa Maadilli mkubwa hamna sehemu iliyosalimika sio bara wala visiwani kama yeye anadai huko kwao ni wasafi muulize dhambi gani ambayo hafanyiki visiwani kwa uwazi?Manhajj salaff,kwema mkuu?
Tungefunguka hapa jinsi ushoga na usagaji kupitia zenji ulivyotamalaki mpaka serikali kuu sema tunaogopa kuitwa dodoma au kuvaa viroba.Mie mtoto wa pwani atii,.lakini huyu mzanzibar pori hajui vizuri bara na pwani...hivi kuna mahali pananuka ushoga kama zenji????
Huyu kakurupuka tu nadhani hajui mabalaa ya jamaa zake zenji atuulize sie tusiosikia tunaopita kila chochoro mpaka tunajiuliza tuko Zenji ama eneo ifananayo?Vipi kuhusu msunsumia kule Unguja?