Bedui la bongo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 297
- 306
Haya nitakayo yasema kaa mwenyewe ufikiri uone kama ni sawa ama laa
1. Vigodoro visivyo na staha watu wanacheze uchi wanavua nguo mbele ya watoto na watu wanashangilia
2. Singeli, watu wanaimba kwa kutukana wanacheza na mapanga vurugu tupu
3. Khanga moja na vibao kata, mtu anavua nguo anacheze na khanga bila chupi khanga imeloa laana hii nilipita sehenu nikaona huko bara kwenye baa unatoa elf 5 unapewa jagi anakuja mwanamke anakukalia huku unamwagia sehemu yoyote uitakayo kwa hyo elfu 5 kama sio laana ni nini
Uvaaji usio na staha, makucha bandia sijui manyusi uvaaji vimini masuruali na ukahaba
Watu wa bara mbadilike na huu muingiliano ndo mnaharibu na watu wa Zanzibar ningekuwa na uwezo nyie kabla hamjaja huku Zanzibar mngekuwa mnapimwa kwanza adabu
Sasa kuna mashoga wengi mpaka mkuu wenu wa mkoa kaamua aanze kamata kamata maana mmezidi mbadilike naiman MUNGU atawaongoza mtabadilika
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile appiphone
1. Vigodoro visivyo na staha watu wanacheze uchi wanavua nguo mbele ya watoto na watu wanashangilia
2. Singeli, watu wanaimba kwa kutukana wanacheza na mapanga vurugu tupu
3. Khanga moja na vibao kata, mtu anavua nguo anacheze na khanga bila chupi khanga imeloa laana hii nilipita sehenu nikaona huko bara kwenye baa unatoa elf 5 unapewa jagi anakuja mwanamke anakukalia huku unamwagia sehemu yoyote uitakayo kwa hyo elfu 5 kama sio laana ni nini
Uvaaji usio na staha, makucha bandia sijui manyusi uvaaji vimini masuruali na ukahaba
Watu wa bara mbadilike na huu muingiliano ndo mnaharibu na watu wa Zanzibar ningekuwa na uwezo nyie kabla hamjaja huku Zanzibar mngekuwa mnapimwa kwanza adabu
Sasa kuna mashoga wengi mpaka mkuu wenu wa mkoa kaamua aanze kamata kamata maana mmezidi mbadilike naiman MUNGU atawaongoza mtabadilika
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile appiphone