Tabia za ajabu na mbovu za Watu wa Bara

Status
Not open for further replies.
Hahaaa tegeta huko

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
Wewe utakua mdau wa hayo mambo, kama wewe mtu wa maadili ulienda kutafuta nini Usiku huko, maana hayo hayafanyiki mchanna.

Alafu nilichogundua, wazanzibar, wanafanya maovu sana, ila mbele za watu wanajifanya wema.

Walewale wanaojaza misikiti, ndie anaetamka neno msengelieee, bila aibu, Yule yule anaeswali Swala tano ndiye huyohuyo anayeejua yafanyikayo usiku baa iliyoko Tageta usiku.

Lakini ndiyo wanakesha Night club, kule Chukwaani, hebu tazameni vijana wengi toka visiwani wanaofanya maovu kuliko hata wa bara, kule wanafanya kwa kujificha, wakija huku wanafanya peupe.

Mleta mada ametaja aina za ngoma, ambazo nimezisia tu sijaziona, na zingine sijaziona kabisa, ingawa niko bara, tena nikiishi Dar kwa miaka mingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya nitakayo yasema kaa mwenyewe ufikiri uone kama ni sawa ama laa

1. Vigodoro visivyo na staha watu wanacheze uchi wanavua nguo mbele ya watoto na watu wanashangilia

2. Singeli, watu wanaimba kwa kutukana wanacheza na mapanga vurugu tupu

3. Khanga moja na vibao kata, mtu anavua nguo anacheze na khanga bila chupi khanga imeloa laana hii nilipita sehenu nikaona huko bara kwenye baa unatoa elf 5 unapewa jagi anakuja mwanamke anakukalia huku unamwagia sehemu yoyote uitakayo kwa hyo elfu 5 kama sio laana ni nini

Uvaaji usio na staha, makucha bandia sijui manyusi uvaaji vimini masuruali na ukahaba

Watu wa bara mbadilike na huu muingiliano ndo mnaharibu na watu wa Zanzibar ningekuwa na uwezo nyie kabla hamjaja huku Zanzibar mngekuwa mnapimwa kwanza adabu

Sasa kuna mashoga wengi mpaka mkuu wenu wa mkoa kaamua aanze kamata kamata maana mmezidi mbadilike naiman MUNGU atawaongoza mtabadilika

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
Huo upuuzi wote uliotaja unafanyika maeneo ya pwani. Tanzania Bara ni kubwa sana. Kwa mfano Zanzibar yote kwa maana ya Unguja na Pemba ni sawa na Mkoa wa Pwani na Dar. Population ya Zanzibar yote haifikii hata nusu ya population ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam. Tatizo lenu wapemba na waunguja mkipanda boti kuja Dar basi mnadhani mmekuja Bara. Dar ni pwani siyo Bara, kama unataka kujua utamaduni wa Bara, ukishuka tu na Azam Marine, chukua uber hadi Ubungo Bus terminal kata ticket ya basi linaloenda, Geita, Mwanza, Bukoba, Musoma, Kigoma, Mbeya, Kahama nk ukatofautishe utamaduni wa Bara na Pwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Juzi Kati ulikuja uzi humu kuzungumzia mikoa inayoongoza kwa ushoga na uzi ulifutwa ....katika listing ile Arusha iliongoza ...Mwanza huko ni balaa kwa ushoga ...mbeya inateketea ...ukiingia kwenye social media huko unakutana na misenge ya kinyamwezi na kinyakyusa Tena wengine wako vyuo vikuu vinavyoheshimika ...msiiangalie Zanzibar Dar na Tanganyika tu huko bara kunateketea ...Kuna kipindi kulirushwa clip kwenye WhatsApp ya watoto wadogo wanafanyana Tena wale watoto wako usukumani Kuna jamaa anajiita Juma mtamu tz anasema Yuko ziara Nachingwea anatafuta mtu akamkune...huko bara Kuna tatizo zaidi ya tatizo
 
Write your reply...Juzi Kati ulikuja uzi humu kuzungumzia mikoa inayoongoza kwa ushoga na uzi ulifutwa ....katika listing ile Arusha iliongoza ...Mwanza huko ni balaa kwa ushoga ...mbeya inateketea ...ukiingia kwenye social media huko unakutana na misenge ya kinyamwezi na kinyakyusa Tena wengine wako vyuo vikuu vinavyoheshimika ...msiiangalie Zanzibar Dar na Tanga tu huko bara kunateketea ...Kuna kipindi kulirushwa clip kwenye WhatsApp ya watoto wadogo wanafanyana Tena wale watoto wako usukumani Kuna jamaa anajiita Juma mtamu tz anasema Yuko ziara Nachingwea anatafuta mtu akamkune...huko bara Kuna tatizo zaidi ya tatizo
 
Hahaaaaa huenda umeandika ukiwa huna fact yoyote. Mikoa ya bara ipo zaidi 25 ila mikoa yenye tabia hizo hata 5 haifiki hivyo 20% ya mapungufu ya hiyo mikoa isikufanye uone mikoa yote ya bara inatabia hizo. Nenda njombe, iringa, mbeya, arusha, Kilimanjaro nk huwezi kuona hizo singeli wala kibao Kata wala kanga moko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wape
Hahaaaaa huenda umeandika ukiwa huna fact yoyote. Mikoa ya bara ipo zaidi 25 ila mikoa yenye tabia hizo hata 5 haifiki hivyo 20% ya mapungufu ya hiyo mikoa isikufanye uone mikoa yote ya bara inatabia hizo. Nenda njombe, iringa, mbeya, arusha, Kilimanjaro nk huwezi kuona hizo singeli wala kibao Kata wala kanga moko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
 
Ww haupo bara kwa maelezo ulotoa utakuwa unakaa kigoma tena mpakan
Wewe utakua mdau wa hayo mambo, kama wewe mtu wa maadili ulienda kutafuta nini Usiku huko, maana hayo hayafanyiki mchanna.

Alafu nilichogundua, wazanzibar, wanafanya maovu sana, ila mbele za watu wanajifanya wema.

Walewale wanaojaza misikiti, ndie anaetamka neno msengelieee, bila aibu, Yule yule anaeswali Swala tano ndiye huyohuyo anayeejua yafanyikayo usiku baa iliyoko Tageta usiku.

Lakini ndiyo wanakesha Night club, kule Chukwaani, hebu tazameni vijana wengi toka visiwani wanaofanya maovu kuliko hata wa bara, kule wanafanya kwa kujificha, wakija huku wanafanya peupe.

Mleta mada ametaja aina za ngoma, ambazo nimezisia tu sijaziona, na zingine sijaziona kabisa, ingawa niko bara, tena nikiishi Dar kwa miaka mingi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
 
kichwa cha habari kiakisi kilichomo ndani basi..eti wanavaa mavazi yasiyo na staha ikijumuisha masuruali.. sasa hapo unamaanisha watu wote wa bara wasivae suruali
 
Kama zanzibar inaongoza kwa usenge mkuu wenu wa mkoa wa mashoga angetaka mkapimwe tezi dume na kutaka kukamata mashoga
Zanzibar wasenge wako kila mtaa tena nje nje.....imekuwa kama jadi kuona kijana wa kizanzibari anashikwa makalio na wazungu huku akijichekea tu. Tembea ujionee, kwa hapa Tanzania ni Zanzibar pekee ndiyo inayo ongoza kuwa na wasenge wa kila rika. Mume wa mtu akiwa nje ya nyumba yake anapakatwa na kufinywa pumbu.

Sent using Jamii Forums mobile appiphone
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom