smartmgabe
Member
- Nov 15, 2013
- 25
- 6
MImi ni kijana wa umri wa kati , nimeoa miaka miwili iliyopita
katika maisha yangu mapya ndani ya taasis ya ndoa nimekumbana na changamoto
inayonitesa sana , mke wangu ana asili ya kumiliki kila kitu nikiwa na maana ya kupenda kuweka kila kitu chini ya utawala wake, inafikia hatua anataka anichagulie rafiki wa kuwa nae,
muda wa kutoka kazini bila kuzingatia majukumu niliyonayo?
tunapotoka nae hata ikiwa churchi ananichagulia upande wa kukaa
so kuna wakati naona naishi maisha ya mke wangu na sio maisha yangu in other way round i feel like a captive to her,
nachoomba hapa ndg zangu ni jinsi gani naweza deal na changamoto hii .
katika maisha yangu mapya ndani ya taasis ya ndoa nimekumbana na changamoto
inayonitesa sana , mke wangu ana asili ya kumiliki kila kitu nikiwa na maana ya kupenda kuweka kila kitu chini ya utawala wake, inafikia hatua anataka anichagulie rafiki wa kuwa nae,
muda wa kutoka kazini bila kuzingatia majukumu niliyonayo?
tunapotoka nae hata ikiwa churchi ananichagulia upande wa kukaa
so kuna wakati naona naishi maisha ya mke wangu na sio maisha yangu in other way round i feel like a captive to her,
nachoomba hapa ndg zangu ni jinsi gani naweza deal na changamoto hii .