Tabia ya Watu Wazima Kucheki Movie na Picha za X (Ponogrphy)

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!!!1

Niajeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kuna tabia za kimagharibi za watu wazima, Over 18 hadi 80 hukooo kuwa na kawaida ya kuzama online na kucheki VITUS ama wengine kununua DVD, wengine kumiliki CUSTOMIZED Collection kwenye PC zao na kufaidi VITUZ kwa LED Ki HD(High Definition) Zaidi!!!!!!!!

Hii tabia wengi wanakuwa wamekua nayo toka teenage, enzi za kuchukua points na notsi za kutafutia course works kabla ya First Performance!!!!!!!! Siunajua unakuwa hjiamini amini, lazima ujue KANUNI sasa ndo unaomba back up kwa wazungu!

Cha ajabu watu wanazeeka na hii tabia wajameni sasa sijajua ni katika mpango mzima wa Kujiboresha na kumaintain viwango ama vipi. (Lazima uwe up to date na mambo!!!!!!)

Leo kuna mwana mmoja kanijia na anahitaji ushauri, mwana yeye ni mtu wa IT pale golini/ofisini sasa kuna MAZA Mtu mzima kama 50 hivi mkubwa tu pale ofisini alimuazima External Hard Disk ya ofisi afanyie back up zake, Mdau akampatia tu, sasa maza design akajibinafsishia ule mzigo wa ofisi, kujifanya kasahau flani kabisaaaa juu ya Urudishaji wa mali ya umaa kama 2 months. Leo mdau kamkaba arudishe External. basi ndo kafuta vitu vyake fasta fasta.

Jamaa kufika ofisini kabla hajaformat mzigo akaamua aukague nini si ndo akakuta file MOJA TUUUU!!!!!!! Hilo file limeseviwa "VERY IMPORTANT DOCUMENTS" akaona kabla ya kulifuta alicheki amrudishie maza. Duuuuuuuuuuh!!!!!! MZIGO WA UHAKIKA!!!!!!! CUSTOMIZED!!!!!!!!!! kama GB 300 hivi za ujazo!!!!!! Mambo XXXXXXXXXXL!!!!!!!!!! Lahaula! Ndo kaja kwangu mdau wake tudiscuss what next!!!!!!! Options hizo hapo chini

1. Akiufuta ule mzigo, ni soo! Je kama maza ile ni HAZINA yake itakuwaje akidai Mzigo wake ule ule ataupata wapi yeye? Mind you umeseviwa VIP!!!

2. Mdau akimrudishia Maza AKAUKANA SI WAKE na kutaka kuuona huenda ni wake kasahau una nini kwani hadi azani wake, si itakuwa balaaaaaa!!!!!!! Maza kama hamaindishi si ATAHISI AMEKOSEWA HESHIMA!!!!!

NYIE MNASHAURIJE!!!!!!!?

Mie NAUPITIA KWANZA MZIGO WENYEWE KUUHAKIKI UBORA WAKE then nitashauri!! (Samahanini lakini Mambo ya Walimwengu)
 
Wakati niko chuo kuna dingi mmoja above 50 alikuwa anakaa next room,kutokana na age yake tulikuwa tumamuheshimu kama baba oneday jamaa alikuwa ameweka porn kwenye PC anaangalia, ghafla dingi kaingia jamaa akataka ku close ikagoma, dingi akavuta kiti akaanza kuangalia akaulizia kama na za kibongo tunazo, age ain't a thing but number!
 
Huyo IT angechukua hiyo external hard disk na kumrudishia mama na kumwambia mama kuwa hard disk inaenda kufutwa hivyo kama kuna documents zozote muhimu azi-back up sehemu ili zisipotee. Angeweza kumpa siku mbili zaidi za back up.

Na wakati anamwambia mama amuweke wazi kuwa huo ni utaratibu wa kawaida wa kuwauliza wanaorudisha hard disk ili document zao zisipotee.
 
ni bora kumrudishia kuliko kuifuta, vitu vya namna hii ni muhimu sana hasa kwa mtu kama huyo!
akilalamika kama siyo yake, hope itakua ime-indicate tarehe iliyokua saved....! mpe aka-enjoy bana
 
jamani inawezekana huyo mama ana mtoto alisave akasahau kufuta,tusijaji, ye akaushe tu na huyo mama kama hataona aibu kuuliza jamaa aseme hakukuta hata file moja allikuta empty,poteza ushahidi
 
Lara 1 & Baba V hivo mbona ni vitu vya kawaida tu. Mimimkuna mjamaa mumoja hapa Ni designer wa kampuni mtu mzima ana mke na watoto lakini anependa hizo vitu saaana na hafich akija huwa anakuja kuniomba nimsaidiee ku download nami namsaidia japokuwa huwa si watch hizo mambo.

Kwa Ujumla inasaidia
 
Wakati niko chuo kuna dingi mmoja above 50 alikuwa anakaa next room,kutokana na age yake tulikuwa tumamuheshimu kama baba oneday jamaa alikuwa ameweka porn kwenye PC anaangalia, ghafla dingi kaingia jamaa akataka ku close ikagoma, dingi akavuta kiti akaanza kuangalia akaulizia kama na za kibongo tunazo, age ain't a thing but number!

Hahahahaaaaaaaaaaa!!!!!!!! Sasa hamkujistukia KUCHEKI VITUZ na mzazi wenu jamani!!!!!!!!! Wanaume makauzu sana nyieee!!!!
 
Huyo IT angechukua hiyo external hard disk na kumrudishia mama na kumwambia mama kuwa hard disk inaenda kufutwa hivyo kama kuna documents zozote muhimu azi-back up sehemu ili zisipotee. Angeweza kumpa siku mbili zaidi za back up.

Na wakati anamwambia mama amuweke wazi kuwa huo ni utaratibu wa kawaida wa kuwauliza wanaorudisha hard disk ili document zao zisipotee.

Maza alifuta vitu mbele yake, sasa atamrudishiaje wakati alimuona aki DELETE fasta fasta!. Maza nae akilikuta lile folder SI ATAMUELEWA KIJANA VIBAYA ukizingatia kijana alimuona akidelete?
 
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!!!1

Niajeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kuna tabia za kimagharibi za watu wazima, Over 18 hadi 80 hukooo kuwa na kawaida ya kuzama online na kucheki VITUS ama wengine kununua DVD, wengine kumiliki CUSTOMIZED Collection kwenye PC zao na kufaidi VITUZ kwa LED Ki HD(High Definition) Zaidi!!!!!!!!

Hii tabia wengi wanakuwa wamekua nayo toka teenage, enzi za kuchukua points na notsi za kutafutia course works kabla ya First Performance!!!!!!!! Siunajua unakuwa hjiamini amini, lazima ujue KANUNI sasa ndo unaomba back up kwa wazungu!

Cha ajabu watu wanazeeka na hii tabia wajameni sasa sijajua ni katika mpango mzima wa Kujiboresha na kumaintain viwango ama vipi. (Lazima uwe up to date na mambo!!!!!!)

Leo kuna mwana mmoja kanijia na anahitaji ushauri, mwana yeye ni mtu wa IT pale golini/ofisini sasa kuna MAZA Mtu mzima kama 50 hivi mkubwa tu pale ofisini alimuazima External Hard Disk ya ofisi afanyie back up zake, Mdau akampatia tu, sasa maza design akajibinafsishia ule mzigo wa ofisi, kujifanya kasahau flani kabisaaaa juu ya Urudishaji wa mali ya umaa kama 2 months. Leo mdau kamkaba arudishe External. basi ndo kafuta vitu vyake fasta fasta.

Jamaa kufika ofisini kabla hajaformat mzigo akaamua aukague nini si ndo akakuta file MOJA TUUUU!!!!!!! Hilo file limeseviwa "VERY IMPORTANT DOCUMENTS" akaona kabla ya kulifuta alicheki amrudishie maza. Duuuuuuuuuuh!!!!!! MZIGO WA UHAKIKA!!!!!!! CUSTOMIZED!!!!!!!!!! kama GB 300 hivi za ujazo!!!!!! Mambo XXXXXXXXXXL!!!!!!!!!! Lahaula! Ndo kaja kwangu mdau wake tudiscuss what next!!!!!!! Options hizo hapo chini

1. Akiufuta ule mzigo, ni soo! Je kama maza ile ni HAZINA yake itakuwaje akidai Mzigo wake ule ule ataupata wapi yeye? Mind you umeseviwa VIP!!!

2. Mdau akimrudishia Maza AKAUKANA SI WAKE na kutaka kuuona huenda ni wake kasahau una nini kwani hadi azani wake, si itakuwa balaaaaaa!!!!!!! Maza kama hamaindishi si ATAHISI AMEKOSEWA HESHIMA!!!!!

NYIE MNASHAURIJE!!!!!!!?

Mie NAUPITIA KWANZA MZIGO WENYEWE KUUHAKIKI UBORA WAKE then nitashauri!! (Samahanini lakini Mambo ya Walimwengu)

dah!!! huyu mama waukweli..kwanza nimpe pongezi kujatibu kudumisha ndoa yake. anajaribu kustay up to date na majamboz mapya kwenye game la sita kwa sita..sio wewe kila leo kifo cha mende.
 
ni bora kumrudishia kuliko kuifuta, vitu vya namna hii ni muhimu sana hasa kwa mtu kama huyo!
akilalamika kama siyo yake, hope itakua ime-indicate tarehe iliyokua saved....! mpe aka-enjoy bana

Hahhaaaaaaaaaaa! Mtu kama yeye kivipi!? Ujue Mtego ule kamtega mwenzie!!!!!!!
 
Lara 1 & Baba V hivo mbona ni vitu vya kawaida tu. Mimimkuna mjamaa mumoja hapa Ni designer wa kampuni mtu mzima ana mke na watoto lakini anependa hizo vitu saaana na hafich akija huwa anakuja kuniomba nimsaidiee ku download nami namsaidia japokuwa huwa si watch hizo mambo.

Kwa Ujumla inasaidia

Hahahaaaaaa!!!!!!!! Huwatch kabisa kabisa mkuuu? Sasa kabla hujadownload unajuaje kama ishu ina ubora?
 
Wakati niko chuo kuna dingi mmoja above 50 alikuwa anakaa next room,kutokana na age yake tulikuwa tumamuheshimu kama baba oneday jamaa alikuwa ameweka porn kwenye PC anaangalia, ghafla dingi kaingia jamaa akataka ku close ikagoma, dingi akavuta kiti akaanza kuangalia akaulizia kama na za kibongo tunazo, age ain't a thing but number!
Hahahaha eti akaulizia kama na za Kibongo zipo, inaonekana ndo mchezo wake huo
 
Hata mimi hiyo kitu ishawahi kunikumba nami ni mtu wa IT, kuna maza mmoja alikuwa Director of Human Resources sehemu niliyokuwa nafanyai tena ni mlokole anasali kwenye haya makanisa ya upako na miujiza alikuwa na laptop ya ofisi lakini ikawa inaleta matatizo matatizo na pia yeye hakuwa mtunzaji kihivo so ilikuwa kila mara naitwa kuishughulikia.Sasa mimi nikapropose apewe desktop ili kuondoa usumbufu wa hiyo laptop. Sasa bwana siku ya kuhamisha data zilizokuwa kwenye laptop kwenda kwenye desktop ndo ilikuwa kimbembe. Kikawaida unahamisha kila kitu na kila kitu inatakiwa kikae kama kilivokuwa kwenye laptop, mfano my picture uweke picha zake, my video kama ina video basi hamisha kama ilivo kwenye my video ya desktop.

Kila kitu nilikifanya vizuri na kwa uangalifu mkubwa si unajua tena Director of Human Resource ndo wa kukuponya au kukuangamiza wakati wa masaibu ya ofisini. Sasa ilipofika kwenye my favorite nilichokikuta ni kwamba alikuwa amebookmark zile site anazopenda kutembelea na katika site ambazo zilikuwa kama 15 nakuambia 7 zilikuwa za XXXX na zilizobaki zilikuwa ni za sex styles, du nikabaki nashangaaaa sana but nikanyuti zangu. Sasa nilivomkabidhi laptop inaonekana alikimbilia moja kwa zote kwenye my favorite na akakuta kila kitu kiko sawa.Lakini akawa anajua tu kwamba nimeona hizo sites.Alikaa kesho yake akaniita akaniambia kuwa eti laptop yake akifika nyumbani kuna watoto wa kaka yake eti niwatundu huwa wanachezea so eti huenda watakuwa wanawatch site za kingono, mi nilimjibu simple kwamba mimi wakati nahamisha data za watu hata sichungulii content ndo nikamaliza kesi hiyo
 
Kwanza hebu tupe tathmini, vp mzigo umeucheki? Unaweza kuu-rate vp? Below or above average?

Lol we mkali, umeanza kwa kutupiga bit kuhusu hzi mambo afu mwisho umejichimbia na GB za kutosha....

Mwambie jamaa amuulize tu huyo Mama kama hlo VIP file ni lake au si lake.!
Hawa wazee wa maofisini tunatakiwa tunawaheshimu kwa mipaka tu ila nao wanaelewa kama sie wakubwa wenzao!
 
Watu wote huwa wanaangalia hizo picha.
Mfano mzuri tuanzie hapa JF, mbona karibu members wote wanatembelea kuleJLW, wakati tunajua kuwa umri wetu unatofautiana, kati ya 20 na 70!!

Mimi naona ishu hapa ni unaangalia wapi, muda gani, na nani! Privacy inapokosekana kwenye vitu hivyo ndipo shida yote huanza.

Kuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa picha hizi mara nyingi zinaboost mahusiano ya kingono, japokuwa pia kuna detriments zake, nyingi tu.

Tukumbuke kuwa majambo yale ni sanaa kamili kama zilivyo sanaa zingine, na hivyo hata kama wote wanafanya hiyo sanaa, basi kuna best perfomers na ambao in case kama ingeshindanishwa basi hao wangechukua prize.
Nawasilisha.
 
Kwanza hebu tupe tathmini, vp mzigo umeucheki? Unaweza kuu-rate vp? Below or above average?

Lol we mkali, umeanza kwa kutupiga bit kuhusu hzi mambo afu mwisho umejichimbia na GB za kutosha....

Mwambie jamaa amuulize tu huyo Mama kama hlo VIP file ni lake au si lake.!
Hawa wazee wa maofisini tunatakiwa tunawaheshimu kwa mipaka tu ila nao wanaelewa kama sie wakubwa wenzao!

Hahahaaaaaaa! Mi bado naukagua mkuu! GB 300 sio mchezo. So far so good! Daaah Mambo customized kabisaa hakuna chini ya kiwango kabisaaa. Mbuzi Mzee hanipati tena!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaa! Mi bado naukagua mkuu! GB 300 sio mchezo. So far so good! Daaah Mambo customized kabisaa hakuna chini ya kiwango kabisaaa. Mbuzi Mzee hanipati tena!

Da mwanawane umenipa kiu, afu umemtaja huyo Mkuu ndio kabisaaa....
Kama vipi utukumbuke kwenye ufalme wako kupitia lile jukwaa letu la chini kabisa, tuwekee hata robo ya jasho tu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom