lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #21
Da mwanawane umenipa kiu, afu umemtaja huyo Mkuu ndio kabisaaa....
Kama vipi utukumbuke kwenye ufalme wako kupitia lile jukwaa letu la chini kabisa, tuwekee hata robo ya jasho tu!
Hahahaaaaaa! Usiwe na pressure, NGOJA KWANZA NIJINAFASI!!!! Then ndo niwafikirie!!!!! LOL!