RIZIKI YA WATU HUPITIA KWA WATU!Shangazi yangu alishanambia kuwa ukiona watu wanakutegemea kama mzazi wao ni ishara una roho nzuri na unatakiwa kujiimarisha zaidi kiuchumi ili uendelee kupata zaidi.
Ila kumbuka tu uwe unatoa na kubakisha chako cha kukusitiri wewe na kulinda heshima yako katika jamii. Kutoa ni jambo zuri ila usitoee sanaaa hadi ukajipunja mwenyewe, hiyo si sawa. Endelea na moyo wa utoaji na ujitahidi sana kupambana ili uwazaidie hao wanaokutegemea.