Tabia ya Wakenya kutaka kila kitu kiwe chao wataacha lini?

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Hii kasumba ya kutaka kila kitu kinachoshine kionekane ni cha Kenya imekithiri sana.

Kilimanjaro iko Kenya
Samatta ni mkenya
Idris sultan ni mkenya
Diamond ni mkenya
Ali kiba ni mkenya
Harmonize ni mkenya.

Kila kitu kizuri wao ni chao
IMG_20210428_195301.jpg
Screenshot_20210428-195443.jpg
 
Tundelee kupaza sauti mama asipewe uenyekiti huku wengine wakijadili maumbile ya sijui hamoniza.
 
Nakumbuka tulipokuwa wadogo, kama 3 yrs old, tulikuwa tunasimama kando ya barabara na kuanza kugombania magari yanayopita, gari likipita tu tulikuwa kila mmoja anasema: "hilo gari langu", na hata ugomvi mara nyingine uliweza kuzuka, utoto una mambo yake.🤣

Tuwaache tu hao Wakenya ni kama watoto.
 
Hii ni dunia ya kibepari kama hatuwezi kutangaza vitu vyetu acha watutangazie na wakisema vyao pia tusipige kelele.

Diamond anaangaliwa zaidi na wakenya kuliko wabongo sasa kwanini wasijimilikishe? Album alizindulia Kenya na alishawahi kutishia anaenda kuishi Kenya. Hata huyu Idris si ajabu anafatiliwa zaidi Kenya.

Vivutio vyetu hatuvitangazi ni kama vinajipa promo vyenyewe na wakenya wanapita humo humo.

Tukianza kuthamini vitu vyetu hao wakenya au watu wengine hatatotumia tena hayo majina kusema ni ya Kenya.
 
mleta mada umekuja kwa mbwembwe kweli karibu uteguke ulimi. anyway page inayojiita 'naijaonnetflix' itamilikiwa vipi na Wakenya?
Idris Sultan namuelewa sana kwa tabia yake ya kupenda kiki. sasa hapo najua amejikunja kwenye kona flani anachungulia comments za Wakenya likitiririka kum-troll na atatrend sana na kuongeza followers.
 
Hii ni dunia ya kibepari kama hatuwezi kutangaza vitu vyetu acha watutangazie na wakisema vyao pia tusipige kelele.Diamond anaangaliwa zaidi na wakenya kuliko wabongo sasa kwanini wasijimilikishe? Album alizindulia Kenya na alishawahi kutishia anaenda kuishi Kenya. Hata huyu Idris si ajabu anafatiliwa zaidi Kenya.
Vivutio vyetu hatuvitangazi ni kama vinajipa promo vyenyewe na wakenya wanapita humo humo.

Tukianza kuthamini vitu vyetu hao wakenya au watu wengine hatatotumia tena hayo majina kusema ni ya Kenya.
Ilikuwaje tena akaahirisha? Aende tu asituzingue huyo mbembe
 
Ilikuwaje tena akaahirisha? Aende tu asituzingue huyo mbembe
Mtu alieleta mapinduzi kwenye huu muziki unasema asikuzingue wakati huohuo unacomplain wakenya kusema kusema ni kijana wao.

Tukiacha kuchukulia poa mambo tutafika tu. Mf. Ukiangalia utofauti wa watalii wanaokuja serengeti na masai mara ni mdogo, wakati serengeti ni mbuga kubwa, ina wanyama wengi na nzuri. Bwana Hamisi yeye alitumia wasanii wa bongo movie kutangaza utalii na bunge linatetea kabisa, katika mazingira hayo tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu tu.

Zanzibar ni Maarufu kuliko Tanzania, labda tukianza kusema vivutio vipo zanzibar vitajulikana haraka na kuepusha hiyo kadhia.
 
Tanzanians with their inferiority complex again. Now Naija on Netflix is Kenya? Huyo Idris Sultan hata tukipewa wa bure hatuwezi mchukue na hakuna Mkenya wa kawaida anayemjua huku. Mwelezeni aache kiki za kipuzi.
Naona povu limeanza kwa Wana kibera
 
TanzaniaonNetflix???😂 😂 😂 Pigeni makofi, Idriss amekuwa m'bongo wa kwanza ku feature kwenye Netflix movie basi! 🤣
 
Kweli, sababu naona "NaijaonNetflix" bado sijapata kuona "TanzaniaonNetflix". 😂😂😂Tena hata usiende huo upande, sababu bado sana. Huyo Idriss awape exposure kwanza, mengine yatakuja baadaye! 🤣
NB;Hatuhitaji tulivyonavyo tayari! 🤣
 
Hao wasanii wawachukue tu maana wote "wamewowa" wakenya tuwaongezee na Ben Pol
ila "Mulima Kill" waendelee kuutazama kwambaaaaaali ila sio kuupanda kutokea KE
 
Tanzania wamekosa kazi, story za Naija wanatutupia sisi waume zao, hahaha, huyo Idriss hata watu kibao hawamfahamu huku ujue! 🤣 🤣 🤣
 
Hao wasanii wawachukue tu maana wote "wamewowa" wakenya tuwaongezee na Ben Pol
ila "Mulima Kill" waendelee kuutazama kwambaaaaaali ila sio kuupanda kutokea KE
Huko kuuonea mlima Kilimanjaro kwa umbali, tosha kwetu. Twapiga hela kwa watalii, tukiwazumia kutoka KE, sio lazma waje Bongo, mkuu! 🤣 🤣 🤣

images.jpeg


images (1).jpeg


NB:huko mwaweza kuona mlima Kenya? 😂 😂 😂 Jinyongeni ka mna kiazi sana, au mjenge ukuta... 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom