witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,089
We ndo umetema madini...na hii ya kuogopa UTI imenifanya nikojoe huku nimesimama!Kama ni nyumba ya watu wengi ,wanaogopa uti mana huu ugonjwa unawatesa sana wadada ...ile frequently kwenda kukojoa ni risk kwa upande wao kiafya
Ule ugonjwa mbaya sana