Wewe ulipofiwa hujabadili jina kama Statesman maana yeye kaachana na stroke.Milungi tu na ushoga huko ndiko CHADEMA ilipozaliwa
USSR
Hao rasta wanauza utu wao kwa Dola kadhaa tu. Kuna mmoja alienda kuliwa jicho Ughaibuni akidhan msaada.Hili suala sijui litakuja kuisha lini, maana noana linaongezeka kila siku.
Machalii watata sn😅😅Sina hamu nao hao majamaa.tumekubaliana elfu 20 kupakia na kwenda kushusha mzigo marangu mtoni walipo malizia kushusha wakadai kazi ngumu wanataka 50 mixa kutoleana na mapanga
Hasa wakijua unatoka darMachalii watata sn😅😅
Hahaha juzi kuna mjamaa namuambia bokoboko haelewi ni kitu gani 😂😂