shubilla
Member
- Mar 28, 2013
- 21
- 6
Nina rafiki yangu jmn sijui ana pepo la ngono?kila akiwa na mwanaume huyu baada ya muda anamuacha kisa eti hawezi kumridhisha!nimejaribu kumsema jamani lakini asikii mkikaa kidogo tu utasikia eti yule mwanaume nimemuacha kwakuwa hajui kunifikisha,,,,sasa huwa najiuliza hivi yy huko kwake kumeumbwaje mpaka asiweze kuridhika na wanaume wote hao wanaompitia jamani?!!!!haya maajabu kwa kweli mwenyewe haoni karaha kubadilibadili kila muda wakati mwingine nafikiria labda anajiendekeza kwa kweli.