Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Sisi waswahili tuna msemo "kuchamba kwingi.......",huenda msemo huu unarandana na tabia ya ''ujuaji'' waliyonayo viongozi na wafuasi wa CHADEMA.
Tabia ya kujua kufikiri wanajua kila kiti imechamgia anguko la Chadema kwa kiasi kikubwa.
Mara kadhaa baadhi ya wanaJF tumeleta mabandiko ya kuwang'amua na mambo mengi lakini wameishia kutukana badala ya kujenga hoja ama kutafakari.
Naam,"sikio la kufa halisikii dawa" bado wameonekana wabishi kufikia hatua ya kufurahisha nafsi zao kwa kuleta mabandiko ya uongo Mfano. "Tundu kuhutubia Bunge la US" akili inayopuuza ukweli kwa kujifariji na ukweli kwa hakika ni dalili mbaya.
Kwa tabia hii ya kupenda kusikia habari za uongo hakika dhahma inawakabili.
Badilikeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi waswahili tuna msemo "kuchamba kwingi.......",huenda msemo huu unarandana na tabia ya ''ujuaji'' waliyonayo viongozi na wafuasi wa CHADEMA.
Tabia ya kujua kufikiri wanajua kila kiti imechamgia anguko la Chadema kwa kiasi kikubwa.
Mara kadhaa baadhi ya wanaJF tumeleta mabandiko ya kuwang'amua na mambo mengi lakini wameishia kutukana badala ya kujenga hoja ama kutafakari.
Naam,"sikio la kufa halisikii dawa" bado wameonekana wabishi kufikia hatua ya kufurahisha nafsi zao kwa kuleta mabandiko ya uongo Mfano. "Tundu kuhutubia Bunge la US" akili inayopuuza ukweli kwa kujifariji na ukweli kwa hakika ni dalili mbaya.
Kwa tabia hii ya kupenda kusikia habari za uongo hakika dhahma inawakabili.
Badilikeni.
Sent using Jamii Forums mobile app