Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,199
Kaka umemaliza kila kituSwali la msingi kwako...Hizo faini unazopigwa ni za halali au si halali?????.......
Kingne unataka wawaonee huruma wangapi????
Sasa ulitaka waandike kosa la aina gani?????
Nyie ndio mnaotuletea ajali za kila kukicha Barabarani kwa kutokuwa makini kabsa......AFU UNAKUJA KULIA LIA HUMU JF....
Upuuuzi mtupu