Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

Binafsi nahisi wanapanga ratiba za mitihani siku za mapumziko (weekend) kwa sababu huwa wanatumia venues(kumbi) za vyuo (mfano kumbi za chuo kikuu cha Dodoma UDOM) kama sehemu ya kufanyia mitihani na siku za weekend venue(kumbi) nyingi huwa hazitumiki hivyo wanatumia kama fursa ya kukamilisha hili jambo.

M.
 
Na waislam wakisema ijumaa wapumzike ingekuwaje yaani katika vitu ambavyo tumeingia mazima mazima waafrika ni dini mpaka wao wenyewe waliozileta wana tuona mbumbu kwa hlo.
 
Kumezuka tabia ya baadhi ya Waajiri ikiwemo Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili siku za Jumamosi ( hususani Usaili wa Mchujo).

Kitendo hiki ni Kinatafsiriwa kama Ubaguzi (Discrimination) kwa waumini wa Kanisa la Waadvetista Wasabato ambao Jumamosi ni siku ya Ibada therefore, by doing so, their opportunity in employment is nullified and impaired. Naomba nieleze kidogo swala ya ubaguzi katika ajira katika tafsiri ya Kisheria kwa ufahamu wangu mdogo nilionao.

Article Na.1 of the Decrimination (Employment and Occupation) Conventions, 1958 which then rectified by Tanzania ni 2002, this practice can be termed as Employment/ occupational Discrimination so “Any distintion, exclusion on preference made on basis of race, sex, colour, religion, political opinion, national extraction or social origin, which has the effect of nullifying or impairing equality of opportunity or treatment in employment or occupation”. Meanwhile, discrimination employment and occupation is not allowed under Section 7 (4) of Employment and Labour Relation Act No.6 /2004 as follows

“No employer shall discriminate, direct or indirectly against an employee in any employment policy or practice or any of the following grounds; colour, nationality, tribe or place of origin, race, natural extraction, social origin, political opinion or region, sex ,gender, pregnancy, marital status or family responsibility, disability, HIV/AIDS, Age or station of Life”

According to Section 7(9) of of Employment and Labour Relation Act No.6 /2004

“An “employment policy or practice “ includes any policy or practice relating to recruitment procedures, advertising and selection criteria appointment and appointment process, job classification and grading, renumeration, employment benefits and terms and conditions of employment, job assignments, the working environment and facilities, training and development, performance evaluation systems, promotion, transfer, demotion, termination of employment and disciplinary measures”

Kwa msingi wa maelezo hayo ya Kisheria, kwa heshima kubwa, naomba Sekretarieti ya Ajira ifikirie upya na kusitisha mara moja tabia ya kupanga usali siku za mapumziko ya mwisho wa juma (Weekends) ikijumuisha Jumamosi ili kuwa na mchakato wa ajira usiokuwa na ubaguzi. Aidha, nawashauri wafanye utafiti kwa njia ya maoni wa sababu zinazofanya baadhi ya Waombaji wa kazi kutohuduria Interview wanaweza kupata sababu nzuri za kuboresha mchakato huo.

Nina imani ombi litaapokelewa ili kuwapa Haki sawa wale ambao Jumamosi ni siku yao rasmi ya Ibada.

Nawasilisha kwa ajili ya maoni na ushauri
Tambua kuwa dini zilikuja kwa meli, Kazi ni msitakabali wa Maisha yako tofauti na hapo kuwa mchungaji
 
Nakumbuka mwaka 2013 Interview ilifanyika Mwalimu Nyerere pale Kigamboni...ilikuwa siku ya jumamosi kuna wasabato walifanya na wapo kazini mpaka Leo wapo kazini.
Serikali haina Dini sio lazima kufanya kazi ya Serikali.
Muslim wasemaje...Ijumaa ni siku ya kazi full watu wanapiga kazi.
Umewaza akija mwingine akisema jumatatu ni siku yake ya kuabudu itakuaje? Mwingine Jumatano.... Sio lazima kufanya interview za Serikali kama ilivyo kuwa sio lazima kufanya kazi kwenye viwanda vya bia.
 
Issue ndugu zangu ni moja hapa, hata kama kweli kuna ulazima wa kuweka ratiba ya usaili Jumamosi, kweli ndio iwe kila Interview ya Mchujo ifanyike Jumamosi? mara nyingi saaaana tarehe ya Usaili wa Mchujo always ni Jumamosi, kwanini hatuoni siku zingine zikijirudia? kwanini wakati wote ni Jumamosi? Kwani hiyo pekee ndio siku ya mapumziko ya mwisho wa Juma?

Mimi nina ushauri kwa Sekretarieti ya Ajira na Waajiri wengine nashauri mambo mawili kama itawapendeza ili kuweza kuwa neutral :

a) Kupanga tarehe mbili za siku za Interview ya mchujo ili waombaji wapewe uhuru wa kuchagua siku mojawapo ambayo ataweza kuhudhuria , changamoto ni nyingi sana so kuweka option ya siku mbili ni njia bora kabisa.

b) Wakati mwingine kubadilisha/ altenate siku za usaili wa Mchujo kwa kuweka siku zingine za mapumziko ya mwisho wa juma badala kila wakati kuweka Jumamosi ili ongalao na wale wachache ambao wanashindwa kuhudhuria Jumamosi wapate nafasi ya kujaribu wakati usaili unapopangwa kwenye siku nyingine

Kuendelea kupanga usaili za mchujo kila mara siku ya Jumamosi inaweza kuleta hisia kwamba hatuwajali wale ambao wanaabudu ziku ya Jumamosi pengine kwakuwa ni minority ( wachache)
Na suala la space pia.Duce/ udom/UD/ mipango siku za kazi halls zinatumiwa na wanafunzi.
 
Unajisumbua kuleta hoja hii hapa, majibu ya watu wanaosnesha hakuna anaejali sana sana wanajibu kwa kejeli, lakini siyo haki kuwatendea hivyo kutokana imani yao. Serikali inapaswa kuheshimu imani ya kila Mtanzania hata wanaoamini usabato ni watanzania kama wengine na wanahaki kama nyie mnao kejeli hapa. Usaili ni sehemu ya kazi hivyo ni bora ufanyika siku za kazi na zisiwe za ibada za watu na hata ijumaa hakuna haja ya kufanya hivyo kuna jumatatu mpaka alhamis haiingiliani na imani ya mtu. Kazi inayofanyika ni sehemu ya kazi na kuwaumizia wengine siyo haki.
Watu wa jumapili na ijumaa.hawanaga shida kabisaa...huwez sikia wanalalamika na interview hua zinapangwa pia siku hzoo
 
Watu wa jumapili na ijumaa.hawanaga shida kabisaa...huwez sikia wanalalamika na interview hua zinapangwa pia siku hzoo
Understanding yako iko chini sana siwezi hata ku argue na wewe tena! just think out side the box, hivi muislam safi anaweza kula nguruwe eti kwasababu wakatoliki na waluteli wanakula? usitoe majibu mepesi hivyo wakati kuna watu wengine wanaumia let us be realistic tuache chuki na majibu ya dharau kwa imani za watu tukijidai wataalamu sana wa hoja nyepesi
 
Nakumbuka mwaka 2013 Interview ilifanyika Mwalimu Nyerere pale Kigamboni...ilikuwa siku ya jumamosi kuna wasabato walifanya na wapo kazini mpaka Leo wapo kazini.
Serikali haina Dini sio lazima kufanya kazi ya Serikali.
Muslim wasemaje...Ijumaa ni siku ya kazi full watu wanapiga kazi.
Umewaza akija mwingine akisema jumatatu ni siku yake ya kuabudu itakuaje? Mwingine Jumatano.... Sio lazima kufanya interview za Serikali kama ilivyo kuwa sio lazima kufanya kazi kwenye viwanda vya bia.
Wasabato waliofanya interview sawa ni kama waislamu si wapo wanakula kitimoto au hujui lakini je hiyo ni imani yao? waza nnje ya box
 
Mi naona usahili unafanyia j.mosi ili wasahili wapige pesa ya over time. Maana ki uhalisia usahili ni sehemu ya kazi kwa nini usifanyike siku za kazi?
 
Hakuna hoja ya upendeleo issu ni kwamba kwa imani ya Waadventista Wasabato, Jumamosi ni siku ya ibada so kupanga Interview mara kwa mara au kila wakati siku hiyo kuna waumiza waumini hawa wachache ambao pengine kwa uchache wao hawana sauti ya kutosha kujitetea.

Hoja hapa sio Jumamosi, hoja ni kwanini kila wakati iwe Jumamosi kwanini isiwe kila wakati Interview ya Mchujo iwe siku nyingine? Nashawishika kuhisi kwamba pengine ni kwakuwa ni wachache (minority).
Mimi nakushauri iwe wewe ushauri hizo interview zifanyike siku ya ijumaa, kwa maana hawa Waislamu hawalalamiki kwa nini ijumaa ni siku ya majumuhisho ya ibada zao za wiki nzima lakini na ni siku ya kazi pia ...?

Lakini pia hilo wazo wewe sio mtu wa kwanza, nakumbuka Magufuli alibadilisha siku ya uchaguzi kutoka siku ya jumapili ambayo ulikuwa unafanyika kila mwaka wa uchaguzi kabla ya yeye kuwa Rais, mwaka 2020 akasema uchaguzi ufanyike siku ya jumatano ili jumapili wakristo waende kanisani.

Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi, BW Mkapa hata Dr. Kikwete hili hawakuliona, na watu walikaa kimya na kumpongeza Dr. Magufuli kwa alichokifanya cha kubadili siku ya uchaguzi, ila wasiwasi jambo kama lile lingefanywa na mtu kama Kikwete la kwasema siku ya ijumaa ni siku kuu ya ibada kwa Waislamu, watu waende makazini hadi saa 11 : 45 am kisha waende misikitini na saa 01 : 15 pm warudi maofisini ingekuwa ajenda kubwa sana sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom