Break Time
Member
- Dec 23, 2014
- 79
- 133
Binafsi nahisi wanapanga ratiba za mitihani siku za mapumziko (weekend) kwa sababu huwa wanatumia venues(kumbi) za vyuo (mfano kumbi za chuo kikuu cha Dodoma UDOM) kama sehemu ya kufanyia mitihani na siku za weekend venue(kumbi) nyingi huwa hazitumiki hivyo wanatumia kama fursa ya kukamilisha hili jambo.
M.
M.