Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 713
- 1,181
Habari za usiku.
Hivi ni kazi ya nani kutafuta chenchi kati ya kondakta na abiria?
Hawa makondakta wanakuwaga na visirani asubuhi ukimpa elfu kumi anaweza akaongea hadi mwisho wa gari.
Kiukweli mimi sioni kosa la abiria kutoa elfu 10 kwasababu ni fedha halali kwa malipo ya Tanzania. Konda ndie anahitaji muda wote kutembea na chenchi kwasababu kazi yake anahitaji kurudisha chenchi.
Makondakta mwisho wa mwezi huoooo jiandaeni; ni mwendo wa elfu 10 tu
Mitano tena.
Hivi ni kazi ya nani kutafuta chenchi kati ya kondakta na abiria?
Hawa makondakta wanakuwaga na visirani asubuhi ukimpa elfu kumi anaweza akaongea hadi mwisho wa gari.
Kiukweli mimi sioni kosa la abiria kutoa elfu 10 kwasababu ni fedha halali kwa malipo ya Tanzania. Konda ndie anahitaji muda wote kutembea na chenchi kwasababu kazi yake anahitaji kurudisha chenchi.
Makondakta mwisho wa mwezi huoooo jiandaeni; ni mwendo wa elfu 10 tu
Mitano tena.