moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Wanabodi,
Naomba niwasilishe mada hii kwenu kama kichwa cha habari kisemavyo.
Kadri siku zinavyoenda naona hii tabia ya makondakta wa mkoa wa Dar na mikoa ya jirani wamekuza hili neno "mawe ' kwenye kuwaita abiria ambao hawashuki kwenye vituo vya karibu mara baada ya bus kuanza safari.
Nimekereka sana pale unapotoa nauli yako cash, mfano unatumia bus la ruti ya CHANIKA - SEGEREA nauli pale ni 450 au 500 sina uhakika.. utakuta abiria kapandia Chanika anasema mwisho wa bus Tabata Segerea labda ndio ka kibanda Kake ka kazi kapo hapo basi njiani utakuta ni masimango matupu, mara 'ooh nimebeba mawe leo hayashuki','ooh dereva tembea mpaka Segerea hawa wamekodi leo " na kauli nyingine sizizo za kistaarabu.
Sasa swali je hiyo nauli iliyochajiwa na kupangwa na serikali mfano kama kutoka Gongolamboto - kivukoni kama ni 500 haiwatoshi???
Kama abiria Amepanda bus Lako na katoa nauli full lakini hajafika kituo anachoshuka let's say ni mwisho wa gari kwa nn mnakua mnatoa maneno ya shombo???
Kwani nauli si kawapa ya kipande husika??,kwa nn mumseme????
Basi pandisheni hiyo nauli iwe 700 ili muwaache abiria wanaotoka mwanzo wa bus na kushuKa mwisho wapande kwa raha zao na wa enjoy nauli yao.
Kwa nini Makonda mnakua selfish, mnaona wao (abiria) wanatakiwa kupanda na kushuka ili mupandishe abiria wapya wawape pesa zaidi. Badilikeni hii sio haki.
Mbona wenzenu wa mabus Ya mkoa mfano arusha - dar kama abiria wakilipia nauli pale shekilango kwenda arusha hawana masimango njiani? Ndo kwanza wanawapa vitafunwa (refreshments)..sababu wanaheshimu mkataba kwamba abiria katoa hela yake basi AHESHIMIWE.
Same apply kwa usafiri wa daladal, abiria katoa nauli full basi AHESHIMIWE, mteja ni mfalme usianze kumkashifu kwa kumuita abiria wa leo ni MAWE.
Wakati mwingine mnajifanya Hamtaki kuchukua abiria kituoni bus linapoanzia kwa kigezo kwamba abiria wanaosubiri bus kituo cha mwisho huwa hawashuki.
Sasa mnataka abiria wakasubirie bus wapi kama sio kituoni?
Na wangekua hawashuki si wangekua wanalala kwenye mabus yenu.
Heshimuni abiria na abiria wawahesimu.
Hasa nyie mnaovaa tisheti zenu za UWAMADAR.
Badilikeni mpo kazini. Yale mabus ndo ofisi zenu na sisi ndo wateja.
Naomba kuwasilisha.
Naomba niwasilishe mada hii kwenu kama kichwa cha habari kisemavyo.
Kadri siku zinavyoenda naona hii tabia ya makondakta wa mkoa wa Dar na mikoa ya jirani wamekuza hili neno "mawe ' kwenye kuwaita abiria ambao hawashuki kwenye vituo vya karibu mara baada ya bus kuanza safari.
Nimekereka sana pale unapotoa nauli yako cash, mfano unatumia bus la ruti ya CHANIKA - SEGEREA nauli pale ni 450 au 500 sina uhakika.. utakuta abiria kapandia Chanika anasema mwisho wa bus Tabata Segerea labda ndio ka kibanda Kake ka kazi kapo hapo basi njiani utakuta ni masimango matupu, mara 'ooh nimebeba mawe leo hayashuki','ooh dereva tembea mpaka Segerea hawa wamekodi leo " na kauli nyingine sizizo za kistaarabu.
Sasa swali je hiyo nauli iliyochajiwa na kupangwa na serikali mfano kama kutoka Gongolamboto - kivukoni kama ni 500 haiwatoshi???
Kama abiria Amepanda bus Lako na katoa nauli full lakini hajafika kituo anachoshuka let's say ni mwisho wa gari kwa nn mnakua mnatoa maneno ya shombo???
Kwani nauli si kawapa ya kipande husika??,kwa nn mumseme????
Basi pandisheni hiyo nauli iwe 700 ili muwaache abiria wanaotoka mwanzo wa bus na kushuKa mwisho wapande kwa raha zao na wa enjoy nauli yao.
Kwa nini Makonda mnakua selfish, mnaona wao (abiria) wanatakiwa kupanda na kushuka ili mupandishe abiria wapya wawape pesa zaidi. Badilikeni hii sio haki.
Mbona wenzenu wa mabus Ya mkoa mfano arusha - dar kama abiria wakilipia nauli pale shekilango kwenda arusha hawana masimango njiani? Ndo kwanza wanawapa vitafunwa (refreshments)..sababu wanaheshimu mkataba kwamba abiria katoa hela yake basi AHESHIMIWE.
Same apply kwa usafiri wa daladal, abiria katoa nauli full basi AHESHIMIWE, mteja ni mfalme usianze kumkashifu kwa kumuita abiria wa leo ni MAWE.
Wakati mwingine mnajifanya Hamtaki kuchukua abiria kituoni bus linapoanzia kwa kigezo kwamba abiria wanaosubiri bus kituo cha mwisho huwa hawashuki.
Sasa mnataka abiria wakasubirie bus wapi kama sio kituoni?
Na wangekua hawashuki si wangekua wanalala kwenye mabus yenu.
Heshimuni abiria na abiria wawahesimu.
Hasa nyie mnaovaa tisheti zenu za UWAMADAR.
Badilikeni mpo kazini. Yale mabus ndo ofisi zenu na sisi ndo wateja.
Naomba kuwasilisha.