HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,724
- 2,325
Inakuwaje waendesha mashitaka wanaletewa kesi na polisi na kuwashitaki wananchi kwa makosa ya kusingiziwa yaliyowazi kabisa pasipo kuhoji?
Inakuwaje hakimu anaona kabisa kesi iliyofunguliwa na waendesha mashitaka ni ya uongo na bado anaiedesha?
Kwanini wasisimamie HAKI ili kulinda AMANI kwa kukataa kushiriki kesi za kubabikiziwa watu?
Kwani wanakamatwa kwa kesi za kubambikiziwa na kuachiwa tu bila hata kifidiwa??
Kwa hili na mengineyo hakutatokea Tanzania kuwa na AMANI kabla ya HAKI
Inakuwaje hakimu anaona kabisa kesi iliyofunguliwa na waendesha mashitaka ni ya uongo na bado anaiedesha?
Kwanini wasisimamie HAKI ili kulinda AMANI kwa kukataa kushiriki kesi za kubabikiziwa watu?
Kwani wanakamatwa kwa kesi za kubambikiziwa na kuachiwa tu bila hata kifidiwa??
Kwa hili na mengineyo hakutatokea Tanzania kuwa na AMANI kabla ya HAKI