Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
preta,kule uliandika uko divorced, niliumiaaaa!
hapana dear....nilirudi.....kwa sasa ndoa yangu ina amani.......
preta,kule uliandika uko divorced, niliumiaaaa!
tena huwa nafanya ukaguzi wa kushtukiza kama ule wa Mwakembe.......
Mi pia,
coz hata nisipofanya ukaguzi bas nakaguliwa mimi!
Na nafanikiwa, karibu katika kila ukaguzi wangu nabamba uozo!
so nakua najiupdate!
mmh...wewe una bahati....sijawahi kubamba hata siku moja.......sijui ni ujanja gani unatumika hapo.......
Bahati au Balaa?!!!!!!
siachi, suprise check muhimu
ni bahati....ukikuta si ndipo unapoanzia.......
Amani kwenu wakuu! (Wakubwa Shikamooni)
Leo ujio wangu si wa Verse moja nyingi Baba V LOL!
Kweli ile tabia ya kuperuzi na udadisi simu za patner wenu muache!!! Tena unakuta mtu anatime mwenzie anaoga anafanya thera checkup ya simu kuanzia inbox, outbox, call log, sms counter(incase zilifutwa), emails na call time summary. Hapo unakuta kakunja nne kabisa, kinotebook mkononi na juisi pembeni, kwa raha zake.
Mwenzenu Mamushka mmoja lilimkuta la kumkuta kati kati ya kuperuzi na kudadisi, Mumewe kufika kaingia chooni, yeye si akazama kunako koti na kukitia kilongalonga kunako 18 zake maoja kwa zote kwenye sms si ndo kukuta huu ujumbe!!!!
"BWANA MKWE FANYA UTARATIBU UTAFUTE NJIA ZA KIDIPLOMASIA KUMWAMBIA MKEO KUWA MAMA YAKE AMEFARIKI GHAFLA LEO MCHANA HUKU KIJIJINI, NA MFANYE UTARATIBU WA KUJA MAZISHINI!!!! UTAFUTE UJANJA WA KUMWAMBIA SABABU ANA PRESSURE KALI SANA YULE SI UNAJUA, HATA SISI HATUJAMWAMBIA NDO TUNAKUTEGEMEA!!!!"
Kilisikika kishindo tu cha Mtu kudondoka na pressure!!!!
SMTMS ITS NOT WORTH IT!!!!!.
Mimi yalishanikuta makubwa kwa ajili ya kuchunguza simu ya hubby ila sijaacha na siachi ng'ooo,maana naona hiyo ni mojawapo ya haki zangu za msingi,na akitaka timbwili aweke password mpya nisiyoijua!!
mmh...wewe una bahati....sijawahi kubamba hata siku moja.......sijui ni ujanja gani unatumika hapo.......