The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,208
Amenikera sana hapo jana, Mpira upo kwenye move lakini ghafla unaona anashangalia. Alifanya hivyo kwa goli la kwanza nikachuna, la pili nikapiga kimya sasa la tatu nalo nikapotezea.
Ishu ni pale alipojaribu kushangilia goli la nne huku mie bado naangalia mpira, alikutana nayo ya uso na kabla hajaelewa nikamzimisha na heavy weight nyingine mpaka nilipohakikisha amepoteana. Watu wengine mnakera kama huwezi sikiliza redio yako nyumbani.
Ishu ni pale alipojaribu kushangilia goli la nne huku mie bado naangalia mpira, alikutana nayo ya uso na kabla hajaelewa nikamzimisha na heavy weight nyingine mpaka nilipohakikisha amepoteana. Watu wengine mnakera kama huwezi sikiliza redio yako nyumbani.