Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,792
- 28,432
Kumbe tupo wengi, Mimi huwa napata kazi kula na wageni wa high table kama ni wali vile robo ya samahani Mimi huwa nisha maliza kitambo,yani dakika 5 huwa nyingi kwangu kwenye kula.
Upo..?
Na utulie hapohapo maana ukiyumba tu mboko..😅Nipo komamanga ntaenda wapi mie
Na utulie hapohapo maana ukiyumba tu mboko..
mkuu mara ya mwisho kutumia dawa za minyoo ilikuwa lini?Nimekua na tabia ya kula chakula haraka mno yani mpaka najishangaa, nikijaribu kula taratibu siwezi kabisa naona kama chakula kinakua siyo kitamu kabisa.
Kuna siku nilienda ugenini nikaandaliwa chakula na palikua na mtoto mdogo ambaye alikua anaangalia tv na mama ake alikua yupo jikoni, yani ndani ya Dakika tano nikawa nimemaliza msosi wote.
Ile mama anaingia sebuleni anakuta sahani nyeupe akamuita mtoto nje akaanza kumuadhibu kwamba kwa nini alikula chakula cha mgeni.
Jambo la kawaida sana hil wala msiwachoshe wana saikolojia na kuwapa pesa za bure tuNakushauri tafuta wataalam wa saikolojia ya afya watakushauri vema
Hata mimi nipo hivyoNimekua na tabia ya kula chakula haraka mno yani mpaka najishangaa, nikijaribu kula taratibu siwezi kabisa naona kama chakula kinakua siyo kitamu kabisa.
Kuna siku nilienda ugenini nikaandaliwa chakula na palikua na mtoto mdogo ambaye alikua anaangalia tv na mama ake alikua yupo jikoni, yani ndani ya Dakika tano nikawa nimemaliza msosi wote.
Ile mama anaingia sebuleni anakuta sahani nyeupe akamuita mtoto nje akaanza kumuadhibu kwamba kwa nini alikula chakula cha mgeni.
Kwani kuna shida mtu kula haraka haraka??.Nakushauri tafuta wataalam wa saikolojia ya afya watakushauri vema
Kiwavi JeshiKila familia ina legend ambaye akianza kupakua chakula utasikia anaambiwa wengine hawajala...
Tena weye utulie tu.. naimagine ulivyo libonge Sasa ndo uwe unakula haraka sijui tu..🤣Nimetulia natafakari namna ya kula taratibu nisije tia aibu
Una element za kiwazi Jeshi au MchwaNimekua na tabia ya kula chakula haraka mno yani mpaka najishangaa, nikijaribu kula taratibu siwezi kabisa naona kama chakula kinakua siyo kitamu kabisa.
Kuna siku nilienda ugenini nikaandaliwa chakula na palikua na mtoto mdogo ambaye alikua anaangalia tv na mama ake alikua yupo jikoni, yani ndani ya Dakika tano nikawa nimemaliza msosi wote.
Ile mama anaingia sebuleni anakuta sahani nyeupe akamuita mtoto nje akaanza kumuadhibu kwamba kwa nini alikula chakula cha mgeni.
Jambo la kawaida sana hil wala msiwachoshe wana saikolojia na kuwapa pesa za bure tu
Nadhani hamjawahi kusoma table manners na food psychologyKwani kuna shida mtu kula haraka haraka??.
Kumbe tupo wengi, Mimi huwa napata kazi kula na wageni wa high table kama ni wali vile robo ya samahani Mimi huwa nisha maliza kitambo,yani dakika 5 huwa nyingi kwangu kwenye kula.
Dakika 3! Mmh hiyo speed sio mchezo.Nikitumia dakika 5 kula nakuwa nimejitahidi sana, dakika 3 tu tayari mzigo umekata.
Shida ni pale uko mezani na watu.