GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,468
- 108,621
Nimetembea nchi kadhaa (hasa za Afrika) na nikiri tu kuwa huko sijui Majuu (Ulaya na Marekani) sijafika bado na kama ni kufika Kwangu basi ni ama tu kupitia ITV Daima au Facebook, Instagram na Twitter pekee.
Kuna 'Katabia' nimekaona kwa Watanzania wengi wakiwa tu katika hizo Nchi na wakishafahamiana tu basi upesi sana wataanza Kujitenga na Wenyeji wa huko na Kuanza kuishi Kimakundi (Kimaskani) kila mara utadhani wapo Mbagala, Tegeta, Manzese na hapa Kwetu Tandale nilipo.
Hata hivyo tabia yetu hii nimekuwa nikiwasikia Wenyeji wakiisifia na Kutupongeza Watanzania kuwa tuna Upendo, Umoja na Ushirikiano tofauti na walivyo Wao ambapo ukiwa tu nje ya nchi utajijua Mwenyewe na Mungu wako wa FAITH (IMANI), LOVE (UPENDO) na MIRACLE (MIUJIZA)
Sasa GENTAMYCINE nauliza je, kuna Faida Kubwa (Kiuchumi, Kiubunifu na Kidiplomasia) kwa hii tabia yetu Watanzania tukiwa ama abroad au overseas au labda upesi sana tunatakiwa tuiache kwani huenda ndiyo ikawa Chanzo cha Kutuchelewesha ambako Wanaijeria, Wasenegali, Wakenya, Waganda, Wakongo na Warwanda waliopo huko hawako kama tulivyo?
Nitashukuru mkinijibu Kiumakini mno.
Kuna 'Katabia' nimekaona kwa Watanzania wengi wakiwa tu katika hizo Nchi na wakishafahamiana tu basi upesi sana wataanza Kujitenga na Wenyeji wa huko na Kuanza kuishi Kimakundi (Kimaskani) kila mara utadhani wapo Mbagala, Tegeta, Manzese na hapa Kwetu Tandale nilipo.
Hata hivyo tabia yetu hii nimekuwa nikiwasikia Wenyeji wakiisifia na Kutupongeza Watanzania kuwa tuna Upendo, Umoja na Ushirikiano tofauti na walivyo Wao ambapo ukiwa tu nje ya nchi utajijua Mwenyewe na Mungu wako wa FAITH (IMANI), LOVE (UPENDO) na MIRACLE (MIUJIZA)
Sasa GENTAMYCINE nauliza je, kuna Faida Kubwa (Kiuchumi, Kiubunifu na Kidiplomasia) kwa hii tabia yetu Watanzania tukiwa ama abroad au overseas au labda upesi sana tunatakiwa tuiache kwani huenda ndiyo ikawa Chanzo cha Kutuchelewesha ambako Wanaijeria, Wasenegali, Wakenya, Waganda, Wakongo na Warwanda waliopo huko hawako kama tulivyo?
Nitashukuru mkinijibu Kiumakini mno.