Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,166
- 6,096
Nashukuru ndugu yangu ila sijakuona siku mbili tatu,,, ndo kama hivyo kaka dunia uwanja wa fujo, yani walimwengu wasikuone unabadili mashati na kutomlilia mtu njaa, ukifanya hivyo tu wanajua una hela,,,Kaka mkubwa Nyonzo bin Mvule safarini sauzi afrika.
Pole Sana kwa maswahibu, ila mshukuru Sana Mungu bado u hai.