1. Kuvaa mlegezo ni matokeo ya hali ngumu ya uchumi hivyo vijana wananunua suruali over size ili wakue nazo.Habari wapendwa MMU
Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa
1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali
2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!
3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh
4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili
Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...
Yapo mengi mengine wataongezea wadau...
vipi kuhusu mwanaume kuvaa hereni?Habari wapendwa MMU
Kuna tabia ambazo mtoto wa kiume akiwa akiwa nazo zinatia mashaka kama ni mwanaume anaejielewa
1.Kuvaa suruali chini ya makalio wanaume wanaovaa suruali mtindo wanakera mno kwa kweli
Mwingine anavaa suruali vbaya mpaka nguo ya ndani inaonekana halafu ndo chaafu,nyeusi tii au makalio yanaoneka loohh.Hebu mjirekebishe tafadhali
2.Kujisaidia haja ndogo njiani,yaani nikikuta mwanaume anatoa ududu wake halafu anaugandamiza ukuta wa mwenzie anauharibu kwa kweli nakudharau sana...Hivi unashindwa hata kuomba sehemu ujihifadhi kidogo haja zako?Mimi nikikukuta unafanya hivyoo njiani sikwepeshi jicho aisee...utajua mwenyewee!!
3.Kumdhalilisha binti akikukataa hii tabia wanayo wanaume wengi akikukataa baada ya kumtongoza unamuekea kisasi unamsubiria aingie kwenye 18 zake umtukanee mpaka makaburi ya kwao au unampiga mradi tu yaani umdhalilishe kwa kua amekukataa.
Au mmeachana unaenda kumsagia kijiweni na kutoa siri zotee...loooh
4.Kudanganya kua hamjaoa kumbe una mke na watoto watano lllloohh vibaya...hvyo baba mtu mzima au mkaka kudanya hujaoa ili tu utimize haja zako za mwili
Yaani mwanaume anajifanya nasafiri kumbe yuko nyumbani kwa mkewe.Hv kama wampenda kweli mkeo unamziniaje sasa kama sio unafiki wa kiwango cha standard gauge...
Yapo mengi mengine wataongezea wadau...