Tabia kumi za mshahara zinazokufanya uendelee kuwa masikini

Makirita Amani

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
1,781
3,070
1. Mshahara haujawahi kutosha.

2. Ongezeko la mshahara huwa haliendani na ukuaji wa gharama za maisha.

3. Mshahara huwa unaleta uteja, unapozoea kupokea kila mwezi unakuwa kama mlevi.

4. Mishahara huwa haikutani.

5. Mshahara hutengeneza tabia ya ukopaji sugu ambayo inakuwa mzigo zaidi.

6. Mshahara ni rushwa unayopewa ili usiishi ndoto zako.

7. Mwajiri anakulipa kiasi kidogo kiasi kwamba hutaacha kazi.

8. Mshahara unatengeneza wategemezi wengi, unapokuwa na mshahara kila mtu anajua lini umeupata.

9. Huwezi kutajirika kwa mshahara, bali utatajirika kwa kile unachofanya na mshahara huo.

10. Watu wengine ndiyo wanaoamua kiasi gani cha mshahara ulipwe.

Kama umechoshwa na mshahara ambao haukuwezeshi kupiga hatua, basi unapaswa kuwa na kitu cha pembeni ambacho kinakuingizia kipato.

Kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA, kinakupa mwongozo sahihi kwako kuanzisha na kukuza biashara yako ukiwa kwenye ajira.

Pata nakala ya kitabu hiki leo kwa kutumia mawasiliano yafuatayo: 0678 977 007 au 0752 977 170.
 
Na ule mshahara wa milion 40 kwa mwezi unahusika hapa, au kwa sababu ni mshahara nao uko mule mule
 
1. Mshahara haujawahi kutosha.

2. Ongezeko la mshahara huwa haliendani na ukuaji wa gharama za maisha.

3. Mshahara huwa unaleta uteja, unapozoea kupokea kila mwezi unakuwa kama mlevi.

4. Mishahara huwa haikutani.

5. Mshahara hutengeneza tabia ya ukopaji sugu ambayo inakuwa mzigo zaidi.

6. Mshahara ni rushwa unayopewa ili usiishi ndoto zako.

7. Mwajiri anakulipa kiasi kidogo kiasi kwamba hutaacha kazi.

8. Mshahara unatengeneza wategemezi wengi, unapokuwa na mshahara kila mtu anajua lini umeupata.

9. Huwezi kutajirika kwa mshahara, bali utatajirika kwa kile unachofanya na mshahara huo.

10. Watu wengine ndiyo wanaoamua kiasi gani cha mshahara ulipwe.

Kama umechoshwa na mshahara ambao haukuwezeshi kupiga hatua, basi unapaswa kuwa na kitu cha pembeni ambacho kinakuingizia kipato.

Kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA, kinakupa mwongozo sahihi kwako kuanzisha na kukuza biashara yako ukiwa kwenye ajira.

Pata nakala ya kitabu hiki leo kwa kutumia mawasiliano yafuatayo: 0678 977 007 au 0752 977 170.
tatizo ni biashara chache sana ambazo unaweza kufanyikiwa bila usimamizi wako......mtaani hakuna watu wa kuwaajiri kwenye biashara zetu karibu wote ni mapoyoyo,wezi, washenzi nk
 
makirita AmaniTAPELI TAPELI TAPELI UKIITWA KWENYE FURSA JUA WEWE NDIYO FURSA.
Ni fursa gani umeitiwa hapa mkuu?
Nimekueleza kuhusu kitabu kinachoweza kukusaidia kama una mshahara na hautoshelezi,
Kama haupo kwenye kundi hilo basi jua haikuhusu.
Karibu sana.
 
unamaanisha hata mshahara wa Jpm na Km au kimei una hizo sifa ulizozitaja?
Ndiyo, mishahara yote ina sifa sawa, kwa sababu siku ukikatika ghafla basi mtu anaingia kwenye matatizo, haijalishi ni mkubwa kiasi gani.
Njia pekee ya kuondokana na changamoto za mshahara ni kuwa na biashara au uwekezaji ambao unakuzalishia faida, ili pale mshahara unapokoma, basi maisha yanaweza kuendelea.
Karibu sana.
 
Na ule mshahara wa milion 40 kwa mwezi unahusika hapa, au kwa sababu ni mshahara nao uko mule mule
Ni mule mule,
Tatizo kubwa ni pale mshahara huo unapokatika ghafla. ukiendendelea kuflow wala mtu haoni shida, ila unapokatika, hapo ndipo uhalisia unapokuwa wazi.
Sasa ni vyema mtu kujiandaa kabla haujakatika, kwa sababu hakuna kizuri kidumucho milele.
 
tatizo ni biashara chache sana ambazo unaweza kufanyikiwa bila usimamizi wako......mtaani hakuna watu wa kuwaajiri kwenye biashara zetu karibu wote ni mapoyoyo,wezi, washenzi nk
Hii ni kweli,
Changamoto kubwa ambayo waajiriwa wengi wanakutana nayo wanapoanzisha biashara wakiwa kwenye ajira ni kukosa muda wa kutosha kusimamia biashara zao na pia kukosa wasimamizi wazuri.
Kwenye kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA utajifunza jinsi ya kukabiliana na hilo, kwanza kwa kutengeneza mfumo mzuri wa biashara yako na pia kupata watu bora wa kuwaweka kwenye biashara yako.
Karibu sana.
 
Ni mule mule,
Tatizo kubwa ni pale mshahara huo unapokatika ghafla. ukiendendelea kuflow wala mtu haoni shida, ila unapokatika, hapo ndipo uhalisia unapokuwa wazi.
Sasa ni vyema mtu kujiandaa kabla haujakatika, kwa sababu hakuna kizuri kidumucho milele.

Hongera kwa kuandaa kitabu chako mkuu, ila watu uku ni wabishi sana kwenye mambo mengi hata kwa ambayo hayana msingi
 
Ndiyo, mishahara yote ina sifa sawa, kwa sababu siku ukikatika ghafla basi mtu anaingia kwenye matatizo, haijalishi ni mkubwa kiasi gani.
Njia pekee ya kuondokana na changamoto za mshahara ni kuwa na biashara au uwekezaji ambao unakuzalishia faida, ili pale mshahara unapokoma, basi maisha yanaweza kuendelea.
Karibu sana.
kwani biashara na uwekezaji huwa havikatiki na kuleta madhara?

acha upotoshaji mkuu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom