Tabia hizi zinanikera!!!!

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,072
18,258
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA
Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote.
Mambo yafutayo ni kweli yananikera.
1. Chumba cha mke na mume kuwa chumba cha kuingia kila mtu. House girl, watoto etc..
2. Kumtukamna mke mbele ya watoto tena sometimes unatawatuka wote ( changanya).
3. Kumwadhibu mwenzio mkeo au mkeo kwa kununa, kukata msosi (tabia mbaya sana hii).
4. Kumwadhibu mwenzio kwa kunyima ile kitu (mnajua).
5. Kumfananiisha mke na watoto ( mfano ,wajinga kama mama yenu??).
6. Kutoboa siri za ndoa saluni (wanawake).
7. Kuliza habari za ujana za mkeo au mumeo wakati mumesha oana (upuuzi).

Mimi ni haya wewe ni yapi??
 
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA
Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote.
Mambo yafutayo ni kweli yananikera.
1. Chumba cha mke na mume kuwa chumba cha kuingia kila mtu. House girl, watoto etc..
2. Kumtukamna mke mbele ya watoto tena sometimes unatawatuka wote ( changanya).
3. Kumwadhibu mwenzio mkeo au mkeo kwa kununa, kukata msosi (tabia mbaya sana hii).
4. Kumwadhibu mwenzio kwa kunyima ile kitu (mnajua).
5. Kumfananiisha mke na watoto ( mfano ,wajinga kama mama yenu??).
6. Kutoboa siri za ndoa saluni (wanawake).
7. Kuliza habari za ujana za mkeo au mumeo wakati mumesha oana (upuuzi).

Mimi ni haya wewe ni yapi??
Sio wewe tu, utafikiri umeona moyo wangu. ila iyo nyekundu afadhali nikae gerezani kuliko kuishi na mtu mwenye hahako katabia.
 
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA
Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote.
Mambo yafutayo ni kweli yananikera.
1. Chumba cha mke na mume kuwa chumba cha kuingia kila mtu. House girl, watoto etc..
2. Kumtukamna mke mbele ya watoto tena sometimes unatawatuka wote ( changanya).
3. Kumwadhibu mwenzio mkeo au mkeo kwa kununa, kukata msosi (tabia mbaya sana hii).
4. Kumwadhibu mwenzio kwa kunyima ile kitu (mnajua).

5. Kumfananiisha mke na watoto ( mfano ,wajinga kama mama yenu??).
6. Kutoboa siri za ndoa saluni (wanawake).
7. Kuliza habari za ujana za mkeo au mumeo wakati mumesha oana (upuuzi).

Mimi ni haya wewe ni yapi??
i kweli tupu uliyo sema, na yamenigusa japo sihusiki. Mara nyingi tumeshindwa kuwaheshimu wenza wetu, hata kutofautisha ,mambo ya ndani na ya nje. utakuta unabwatukiwa mbele za watoto, hata watoto wamekuwa wanajua kuwa kati ya mama na baba nani mkorofi.

Ila hizo mbili zinanitia kichefuchefu ninapo ona mwenzangu anaziabudu. tabia mbaya kabisa
 
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA
Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote.
Mambo yafutayo ni kweli yananikera.
1. Chumba cha mke na mume kuwa chumba cha kuingia kila mtu. House girl, watoto etc..
2. Kumtukamna mke mbele ya watoto tena sometimes unatawatuka wote ( changanya).
3. Kumwadhibu mwenzio mkeo au mkeo kwa kununa, kukata msosi (tabia mbaya sana hii).
4. Kumwadhibu mwenzio kwa kunyima ile kitu (mnajua).
5. Kumfananiisha mke na watoto ( mfano ,wajinga kama mama yenu??).
6. Kutoboa siri za ndoa saluni (wanawake).
7. Kuliza habari za ujana za mkeo au mumeo wakati mumesha oana (upuuzi).

Mimi ni haya wewe ni yapi??

duh ndugu yangu naona uchanganyikiwa sasa
kaa vunja ukimya
 
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA
Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote.
Mambo yafutayo ni kweli yananikera.
1. Chumba cha mke na mume kuwa chumba cha kuingia kila mtu. House girl, watoto etc..
2. Kumtukamna mke mbele ya watoto tena sometimes unatawatuka wote ( changanya).
3. Kumwadhibu mwenzio mkeo au mkeo kwa kununa, kukata msosi (tabia mbaya sana hii).
4. Kumwadhibu mwenzio kwa kunyima ile kitu (mnajua).
5. Kumfananiisha mke na watoto ( mfano ,wajinga kama mama yenu??).
6. Kutoboa siri za ndoa saluni (wanawake).
7. Kuliza habari za ujana za mkeo au mumeo wakati mumesha oana (upuuzi).

Mimi ni haya wewe ni yapi??

Unaficha nini chumbani?
 
Unaficha nini chumbani?
hata mimi nashangaa!kuna tanzanite au mabomu?kwahiyo hata siku Mama anaumwa na Baba hayupo utafia ndani coz ni chumba cha wawili tu!?

Kuhusu kususia msosi, mwanamke sio mtu wa kumwamini hata kidogo. Kama mna ugomvi wa kindoa anaweza hata kukuwekea sumu kunako menu. Kwahiyo ni vizuri kususia menu mpaka mtakapotatua tatizo lenu.

Ila siungi mkono kuadhibiana kwa kunyimana katunda kaleee kenye tabu ya jasho!
 
Unaficha nini chumbani?

Sio kwamba nimepiga marufuku, kuwe na utaratibu na nidhamu iwepo. Utakuta mtu anamtuma House help (HG) kachukue nini??. Mtu awe na sababu ya msingi kuingia , Huoni ikulu tusivyo ijua hata kama ni wa tz.??
 
hata mimi nashangaa!kuna tanzanite au mabomu?kwahiyo hata siku Mama anaumwa na Baba hayupo utafia ndani coz ni chumba cha wawili tu!?

Kuhusu kususia msosi, mwanamke sio mtu wa kumwamini hata kidogo. Kama mna ugomvi wa kindoa anaweza hata kukuwekea sumu kunako menu. Kwahiyo ni vizuri kususia menu mpaka mtakapotatua tatizo lenu.

Ila siungi mkono kuadhibiana kwa kunyimana katunda kaleee kenye tabu ya jasho!

Ile ni ikulu, hadi ualikwe ndo unaweza tinga ndani. Ninacho zungumzia hapa ni utaratibu , Chumba cha heshima sana kile.
 
i kweli tupu uliyo sema, na yamenigusa japo sihusiki. Mara nyingi tumeshindwa kuwaheshimu wenza wetu, hata kutofautisha ,mambo ya ndani na ya nje. utakuta unabwatukiwa mbele za watoto, hata watoto wamekuwa wanajua kuwa kati ya mama na baba nani mkorofi.

Ila hizo mbili zinanitia kichefuchefu ninapo ona mwenzangu anaziabudu. tabia mbaya kabisa

Mh mwanaume anaevuta mdomo na kususa chakula mh huyo hafai hata kwenda nae sehem, kwa ndugu, ukweni, hata kwa marafiki, atakuaibisha auvutee asuse na chakula mbona utajuta. Au anaeenda bar kulalamika kwa kila mtu kuhusu mkewe.Tabia hiyo sio nzuri kabisaa.
 
Mwanaume anayesimulia mapungufu ya mkewe kwa rafiki zake mfano she is hopeless kabisa loh ni mwili wako mshaungana hivyo hata kama ana mapungufu ndo ishakuwa hivo msalaba wako huo...badirikeni wanaume..
 
TABIA MBAYA NDANI YA NDOA
Kukerwa na tabia fulani ni kitu cha kawaida katika maisha ya kila mtu. Yapo mambo ambayo yanamkera mtu binfsi kama yeye na mengine hutukera sote.
Mambo yafutayo ni kweli yananikera.
1. Chumba cha mke na mume kuwa chumba cha kuingia kila mtu. House girl, watoto etc..
2. Kumtukamna mke mbele ya watoto tena sometimes unatawatuka wote ( changanya).
3. Kumwadhibu mwenzio mkeo au mkeo kwa kununa, kukata msosi (tabia mbaya sana hii).
4. Kumwadhibu mwenzio kwa kunyima ile kitu (mnajua).
5. Kumfananiisha mke na watoto ( mfano ,wajinga kama mama yenu??).
6. Kutoboa siri za ndoa saluni (wanawake).
7. Kuliza habari za ujana za mkeo au mumeo wakati mumesha oana (upuuzi).

Mimi ni haya wewe ni yapi??

Hivi kumbe na hili lenye red huwa lipo? Mhh hii kiboko

lakini kwa upande mwingine haya mambo lazima yawepo dunia haiko ideal kama unavyodhani. kuna vitu vingine lazima viwepo tu haviepukiki kaka..!!!
 
Mh mwanaume anaevuta mdomo na kususa chakula mh huyo hafai hata kwenda nae sehem, kwa ndugu, ukweni, hata kwa marafiki, atakuaibisha auvutee asuse na chakula mbona utajuta. Au anaeenda bar kulalamika kwa kila mtu kuhusu mkewe.Tabia hiyo sio nzuri kabisaa.

Kaaaa, kumbe kuna wanaume wanao susia menyu. Nadhani wanaume kuna vipu vitatu ambavyo huwa hawasusi
1. Pesa/Cash?mshiko
2. K/kuchakachua ( Na hili wanawake wengi huwa wanapenda kulitumia kama silaha wanapokuwa wamewaudhi wanaume zao.
3. Menyu/msosi/food
 
Kurudi usiku wa manane, alfajiri, hatimae kuhama nyumbani, kisha kurudi tena na kujifanya yote hayo ni kawaida tuu na unyumba uendelee bila hata kupima virusi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom