KIMIYAKIMIYA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 230
- 309
Hakuna mtu ambaye hajawahi kuwa mgeni na kama bado lazima siku moja utakuwa ugenini, kuna vijitabia ambavyo vinaweza kuwa kero kwa wenyeji wako bila ya wewe kujua.
Binafsi sipendi mgeni anayenitembelea ana simu lakini hana chaja, hivyo ratiba ya kuchaji simu yake inaingiliana na mimi mwenyeji huku akitoa visababu visivyoeleweka vya kwanini hana chaja.
Hebu turushie vitabia vya wageni vinavyokera ili tujirekebishe tukiwa ugenini.
Uzi huo leta sindano tuwashone
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi sipendi mgeni anayenitembelea ana simu lakini hana chaja, hivyo ratiba ya kuchaji simu yake inaingiliana na mimi mwenyeji huku akitoa visababu visivyoeleweka vya kwanini hana chaja.
Hebu turushie vitabia vya wageni vinavyokera ili tujirekebishe tukiwa ugenini.
Uzi huo leta sindano tuwashone
Sent using Jamii Forums mobile app