Tabia hizi za wageni zinakera

KIMIYAKIMIYA

JF-Expert Member
Mar 2, 2014
230
309
Hakuna mtu ambaye hajawahi kuwa mgeni na kama bado lazima siku moja utakuwa ugenini, kuna vijitabia ambavyo vinaweza kuwa kero kwa wenyeji wako bila ya wewe kujua.

Binafsi sipendi mgeni anayenitembelea ana simu lakini hana chaja, hivyo ratiba ya kuchaji simu yake inaingiliana na mimi mwenyeji huku akitoa visababu visivyoeleweka vya kwanini hana chaja.

Hebu turushie vitabia vya wageni vinavyokera ili tujirekebishe tukiwa ugenini.

Uzi huo leta sindano tuwashone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mgeni wako kuomba chaja tu unakimbilia JF asubuhi hii kuanzisha uzi!
Nadhani wewe binafsi una matatizo makubwa zaidi ya huyu mgeni wako unayemlalamikia.

Si ajabu unahesabu hata kila tonge la ugali analopeleka kinywani mwake. Vitu vingine ambavyo ni trivial potezea brother!
 
Yaani mgeni wako kuomba chaja tu unakimbilia JF asubuhi hii kuanzisha uzi!
Nadhani wewe binafsi una matatizo makubwa zaidi ya huyu mgeni wako unayemlalamikia.
Si ajabu unahesabu hata kila tonge la ugali analopeleka kinywani mwake. Vitu vingine ambavyo ni trivial potezea brother!
Chini kasema "uzi huo leta sindano tuwashone"kazi kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wa kipuuzi sana huu....JF ishaingiliwa na members wa Facebook... zamani tulikua tunatumia JF kama chanzo cha taarifa na maarifa muhimu,leo tunaingia JF tunakutana na mambo ambayo haya add value kabisa kwenye maisha yetu....inauma sana,ndio maana wengine tumehamia kwenye platform za kimataifa kama Tapatalk,Quora n.k maana huko tunaweza kujadiri mambo ya maana,au tukajifunza vitu vipya,...katika dunia ya leo ya kibepari ubongo unahtaji kulishwa na kujazwa maarifa na taarifa ambazo ni muhimu,....tuliifaidi sana JF miaka ya 2010-2015 lakini baada ya hapo wambea wa Insta, Facebook nao wamejiunga...sasa ukiingia tu unakutana na post ya "uume wangu mdogo,naweza kumridhisha?"like seriously!!.... nowadays we think very small,we are not great thinker any more.....lakini tutafanyaje sasa inabidi tuzoee!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjadala wa kipuuzi kabisa huu
 
Ndio maana siku hizi watu hawatembeleani mnaongelea bar kila mtu anaenda kwake😂😂
 
Back
Top Bottom