Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 5,957
- 12,291
Nchi ilijawa na manyang'au, JPM anaingia ikulu nchi haina pesa hata ya kuongozwa kwa zaidi ya siku 9, yalitegemea angejificha kwenye upumbavu wa democracy uliotusababishia tuendelee kuwa maskini tegemezi kwa mabeberu hadi leo hii ilihali tuna kila aina ya utajiri wa rasilimali?Zilifuta mazuri yake kwenu ila kwa sisi wengine bado yupo anaishi ndani yetu